Hizi tabia zikome huku MMU haraka

Hizi tabia zikome huku MMU haraka

Apologise lady

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2013
Posts
5,980
Reaction score
3,115
Kuna tabia humu zinakera sana, zikome haraka sana.

  1. Tabia ya kila ukiletwa uzi na mwanaume kuhusu mke wake wanaume karibu wote wanamshauri mwenzao amwache mke wake, hiyo tabia mkome mkome, hamjui upande wa pili upoje wala kama yaliyosemwa ni ya kweli au mtu anatafuta sababu tu nyie mnapigilia msumari wa moto.

    Acheni hiyo tabia kabisa, humu tumo na fake id unaweza kuta unaropoka ropoka kumbe unavunja ndoa ya dada ako, shangazi yako na acheni kabisa hii tabia.

  2. Tabia ya mtu anaamua tu kuja kudhalilisha wanawake humu nayo ikome haraka, palipo na mwanaume lazima kuna mwanamke.

    Sasa iweje kila siku wanaume muishi kwa kuwakashifu wanawake etii kisa tu mtu kakunyima papuchi basi unakuja kutukana wanawake woteee duniani.

    Hii tabia ikome haraka.
  3. Tabia ya watoto wadogo kuingilia mada za watu wazima ikome, subirini ikifika wakati wako utachangia, acha kujikomaza, ka jogoo anayejifunza kuwika, anawika hata saa 7 mchana.

  4. Mwisho: Tabia ya mtu kuja pm wakati hUjui amekuja pm kufanya nini ikome, au mtu unakuja pm kuleta ubabe nayo ikome Ubabe peleka ulingoni.

    Pm ni sehemu ya kuongea faragha na jambo la msingi, sio kuja kujikanyaga kanyaga na kumaliziana charge OVER.

    Angalizo: Kama nimekukera kuwa mpole usije na matusi hapa.

    [/SIZE][/COLOR]
 
Hahaha hiyo number 4. Sasa ya PM si unaniambia huko huko yanaisha? Kama mambo yenyewe ndiyo haya, siendi tena PM kwa mtu kuanzia sasa.
 
Ni rahisi mno kumshauri mtu aachane na mume au mke wake, simply because tumepewa nafasi ya kushauri. But trust me Kuna watu wana majanga makubwa lakini wameshindwa hata kujishauri kuwa watengane. Wanavumilia na kupalilia ndoa zao. Ukitaka usijute, fanya kitu kwa maamuzi yako binafsi na sio kwa sababu ya kushauriwa
 
pm ni sehemu ya kuongea faragha!!! mi hapo tu ndo umenikosha, ngoja nimalizie hapa nije....
 
Hilo la watoto kuingilia mada za wakubwa nadhani mods waongeze jukwaa lao wakajiachie pia
 
Mmmh !! hii nimeipenda..

[*]Tabia ya watoto wadogo kuingilia mada za watu wazima ikome, subirini ikifika wakati wako utachangia, acha kujikomaza, ka jogoo anayejifunza kuwika, anawika hata saa 7 mchana.

 
Kuna tabia humu zinakera sana, zikome haraka sana.

  1. Tabia ya kila ukiletwa uzi na mwanaume kuhusu mke wake wanaume karibu wote wanamshauri mwenzao amwache mke wake, hiyo tabia mkome mkome, hamjui upande wa pili upoje wala kama yaliyosemwa ni ya kweli au mtu anatafuta sababu tu nyie mnapigilia msumari wa moto.

    Acheni hiyo tabia kabisa, humu tumo na fake id unaweza kuta unaropoka ropoka kumbe unavunja ndoa ya dada ako, shangazi yako na acheni kabisa hii tabia.

  2. Tabia ya mtu anaamua tu kuja kudhalilisha wanawake humu nayo ikome haraka, palipo na mwanaume lazima kuna mwanamke.

    Sasa iweje kila siku wanaume muishi kwa kuwakashifu wanawake etii kisa tu mtu kakunyima papuchi basi unakuja kutukana wanawake woteee duniani.

    Hii tabia ikome haraka.
  3. Tabia ya watoto wadogo kuingilia mada za watu wazima ikome, subirini ikifika wakati wako utachangia, acha kujikomaza, ka jogoo anayejifunza kuwika, anawika hata saa 7 mchana.

  4. Mwisho: Tabia ya mtu kuja pm wakati hUjui amekuja pm kufanya nini ikome, au mtu unakuja pm kuleta ubabe nayo ikome Ubabe peleka ulingoni.

    Pm ni sehemu ya kuongea faragha na jambo la msingi, sio kuja kujikanyaga kanyaga na kumaliziana charge OVER.

    Angalizo: Kama nimekukera kuwa mpole usije na matusi hapa.

    [/SIZE][/COLOR]


  1. Aisee
    Leo umependeza eeh:A S 41:
 
Back
Top Bottom