Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,092
- 143,311
Hiyo singeli ni passing fad tu.
Muda si mrefu watu mtazichoka kwa sababu zaidi ya makelele, sioni umahiri mwingine wowote ule ndani yake.
Waimbaji wake naona ni wapiga makelele tu.
Muda si mrefu watu mtazichoka kwa sababu zaidi ya makelele, sioni umahiri mwingine wowote ule ndani yake.
Waimbaji wake naona ni wapiga makelele tu.