SafariAutomotive
Member
- Jan 13, 2021
- 13
- 16
Usiogope bei Ug Opa ubora unakaa nazo mpaka unachoka
Usiogope bei Ug Opa ubora unakaa nazo mpaka unachoka
Unaweza kutupa connection na huyo wa mabibo? Nadhani atatufaa sisi wa hali ya chini.Bei ya kukomoana (si rafiki kwa 'WANYONGE') Nilienda na Nissan Patrol wanataka 1.5m nikatafuta fundi mitaa ya Mabibo akanishonea kwa 450,000
HahahahahahahaNani huyo mnamzungumzia.?
Mbona mi safari waliniambia Mark X laki 6 dashboard tu?..
Ilibidi nikae pembeni kwanza..bei gani hio js for dashboard?..
Naweza pata mawasiliano yake kama hutojali?Bei ya kukomoana (si rafiki kwa 'WANYONGE') Nilienda na Nissan Patrol wanataka 1.5m nikatafuta fundi mitaa ya Mabibo akanishonea kwa 450,000
Kazi zenu nzuri sana , nakubaliUkweli SAFARI Automotive Tunajitahidi sana kwmeye huduma kwa ofisi yoyote utakayoenda utapigwa Na butwaa- huduma nzuri sana sijui huyu my Mteja wetu nini kilimtokea- pole sana
Sawa tunashukuruPole sana kwa yaliyokukuta nia Na dhumuni la SAFARI Automotive siku zote ni kukupa huduma Bora Na kazi yenye Ubunifu mkubwa sana.
tunamshukuru Mungu sana watanzania wametupa support kubwa sana - Na ata nilipoambiwa nije huku kuangalia maoni yenu Na kujibu nilikimbia faster kwasababu kwetu kila mtu ni mteja (nani asiyependa magari)??
Wana bei za uchumi wa kati na juu tu😂😅Hahahahahahaha
Safi saana. Hii ndio professionalism tunayohitaji kwenye hii industry hapa kwetu.Pole sana kwa yaliyokukuta nia Na dhumuni la SAFARI Automotive siku zote ni kukupa huduma Bora Na kazi yenye Ubunifu mkubwa sana...
Naamini with time bei zitakuwa nzuri nzuriSawa tunashukuru
Kazi zenu kweli nzuri
Ila ndo dashboard kidogo tu laki 6 jmn?
iliniuma
Itakua niliulizia kipindi cha laki 6/bila punguzoIssue ya dahsboard kwanzia may 2020 -October 2020 tulikuwa Na 50% off dashboard ilikuwa laki 3 tu ndani ya 24 hours
Ulikuwa wapi boss wangu
Fanyeni muanzishe thread humu ambayo mtakuwa mnaweka updates za kazi zenu. Ila mjiandae kuweka bei wazi maana raia wa humu wanapenda kuona kazi na bei yake.Issue ya dahsboard kwanzia may 2020 -October 2020 tulikuwa Na 50% off dashboard ilikuwa laki 3 tu ndani ya 24 hours
Ulikuwa wapi boss wangu
dashboard
Nafikiri sijaelewa swali mkuu.. Ila vile jamaa wa Safari tunao kwenye uzi huu, unaweza kuwauliza moja kwa moja wakakujibu.Naomba ufafanuzi kwenye dashboard, unamaanisha kitu gani hapa?
Sijui maana ya dashboard. Kuna dashboard za aina ngapi?Nafikiri sijaelewa swali mkuu.. Ila vile jamaa wa Safari tunao kwenye uzi huu, unaweza kuwauliza moja kwa moja wakakujibu.