Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Wadau,
Makamu wa Rais ailikuwa hapo Songea kwa ajili ya uzinduzi wa siku ya Mazingira duniani. Lakini ukijaribu kuiangalia hiyo picha kwa makini utaona kuna sare za kijani na njano za chama fulani. Nashindwa kuelewa kulikuwa na uhusiano gani wa hiyo sherehe na hizo sare!!
Nawakilisha.
Makamu wa Rais ailikuwa hapo Songea kwa ajili ya uzinduzi wa siku ya Mazingira duniani. Lakini ukijaribu kuiangalia hiyo picha kwa makini utaona kuna sare za kijani na njano za chama fulani. Nashindwa kuelewa kulikuwa na uhusiano gani wa hiyo sherehe na hizo sare!!
Nawakilisha.