Hapa jiji arusha kwa sasa karibia kila mtaa kumeanzishwa pub na zingine hazina vyoo, je watoa leseni wa uanzishwaji wa pub hizo wanazingatia sheria na viwango vya kuidhinisha ufunguaji huo wa pub? Na je nini faida na hasara zake kwa baadae?
Sio suala la baadaye tuzungumzie athari za sasa ambapo bila choo wateja wanafanyaje zaidi ya kuchafua mazingira?
Kupitia rushwa hakuna kinachoshindikana ndio maana leseni zinatolewa mezani bila kuzingatia kwamba kama kuna viwango vya leseni au la, hii ndio bongo tambarare.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.