mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,839
Hizo namba cruiser mkonga na Yale mavieiteee wanapenda Sanaa kuzitumia.
Kweli kiingereza hukijui! Wachie wenye lugha.Utamuambia na mmeo.... Muache kufata mkumbo... Number plate, plate number.. zote ni sawa tu... Usiseme moja sio sahihi.
View attachment 1981215
Ipo sana hii baada ya kazi wanziba STK na plate ingine na vile jion basi fresh..Juzi nimeona gari ipo ivyoivyo imepaki bar ila ukiangalia kwenye vioo unaona stk inasomeka, sio wote eti ni special force wengi wanatumia magari ya serikali kwenye shughuli binafsi na hizo namba wanazifunga ili isijulikane kama ni gari ya serikali.