racka98
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 1,041
- 1,530
Wanafeli, wanafikiri kila mtu anatumia line kuingia WhatsApp na kutuma hela tu.hivi kwanza wanamaana gani kuweka ulinzi wa namna hyo. huo ulinzi bado sijaona umuhimu wake
Sent using Jamii Forums mobile app