USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,908
- 22,695
Ukizitizama na kama umefuatilia hotuba za wanasiasa hawa utajua tu kuwa ilikuwa ni siasa wala sio unga wala mafuta kubwa na bei juu.
Wote wameonesha kama walikuwa wanakutana usiku vile mchana wanajifanya rivals tu.
Vijana hasa hao BAVICHA na Act wazalendo wawe makini na wanasiasa, kule Segeraa kuna vijana walivunjwa kipindi cha uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 wakimtetea Mwita Waitara leo yuko CCM.
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Wote wameonesha kama walikuwa wanakutana usiku vile mchana wanajifanya rivals tu.
Vijana hasa hao BAVICHA na Act wazalendo wawe makini na wanasiasa, kule Segeraa kuna vijana walivunjwa kipindi cha uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 wakimtetea Mwita Waitara leo yuko CCM.
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app