Hizi pesa zinavyotafutwa bana..ona hichi kituko!

Hizi pesa zinavyotafutwa bana..ona hichi kituko!

agristeph

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2013
Posts
214
Reaction score
184
Hizi pesa zinavyotafutwa bana..tutasikia mengi,tutaona mengi na tutapitia mengi sana!
Pastor Lesego Daniel wa kanisa la Rabboni Centre Ministries,Pretoria South Africa amewapa order waumini wake WALE MAJANI MABICHI ILI WAWE KARIBU NA MUNGU ZAIDI!

Pamoja na kusumbuliwa na tumbo na kupishana kwenda toilet baada ya zoezi hilo sikia hawa waumini wanachosema;

1.'Yes, we eat grass and we're proud of it because it demonstrates that, with God's power, we can do anything,' Rosemary Phetha told South Africa's Times
2. Doreen Kgatle, 27, of Ga-rankuwa, suffered a stroke two years ago.
'I could not walk but soon after eating the grass, as the pastor had ordered, I started gaining strength and an hour later I could walk again,' said Kgatle.

Daaah! Ngoja nichukue Bible yangu,nisome kitabu cha Ufunuo.
 
Wonders shall never end!
 

Attachments

  • 1389373661125.jpg
    1389373661125.jpg
    87 KB · Views: 1,243
hawa wachungaji..... hawa wachungaji....
waumini akili kichwani!
Yale ya kibwetere yanakaribia kurejea....
 
Kuna ubaya gani mchungaji kulisha majani kondoo wake? kwani chakula cha kondoo nini kama si majani? huyo mchungaji kaonyesha ni jinsi gani kondoo anatakiwa achungwe siyo wachungaji wenu wao kazi yao ni kudai sadaka kwa kondoo wao!
 
Vituko aina hii havitosita mpaka pale mwanadam atakapofuata dini SAHIHI. Dini inayoenda sambamba na maumbile yake.Angalia sasa mnalishwa majan kama Ngombe.
 
Hao waumini si waje shambani kwangu aisee! Minahangaika kutafuta vibarua kumbe kuna watu wanauwezo wa kula nyasi? Nasema hivyo kwasababu hawa ni wazuri tofauti na ngombe ukiwapa hiyo kazi watakula na mahindi yangu ila hawa tunaelezana kwanza kazi na kukubaliana wale nini na nini wasile.Na hakuna kunaiana coz ni sehemu ya ibada
 
Vituko duniani , ishi uone mengi
 
Back
Top Bottom