Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,793
- 284,880
Njaa mbaya sana !Acha uongo, mimi ni mmoja wa watumishi wa Umma, HATUJSAHAULIKA hata kidogo. Peleka majungu na uchonganishi huko kwenu Kaskazini.
Njaa mbaya sana !Acha uongo, mimi ni mmoja wa watumishi wa Umma, HATUJSAHAULIKA hata kidogo. Peleka majungu na uchonganishi huko kwenu Kaskazini.
Acha uongo, mimi ni mmoja wa watumishi wa Umma, HATUJSAHAULIKA hata kidogo. Peleka majungu na uchonganishi huko kwenu Kaskazini.
Eeennh kumbe mpo poa [emoji106] kiasi hicho??!!!!Acha uongo, mimi ni mmoja wa watumishi wa Umma, HATUJSAHAULIKA hata kidogo. Peleka majungu na uchonganishi huko kwenu Kaskazini.
Wewe ni Mtumishi wa UMMA au wa Lumumba?Acha uongo, mimi ni mmoja wa watumishi wa Umma, HATUJSAHAULIKA hata kidogo. Peleka majungu na uchonganishi huko kwenu Kaskazini.
Kile kiwanda cha viroba feki si kilishafungwa jamani.Acha uongo, mimi ni mmoja wa watumishi wa Umma, HATUJSAHAULIKA hata kidogo. Peleka majungu na uchonganishi huko kwenu Kaskazini.
shame on you....hatujasahaulika kivip?? ww upo sekta gan asee?? No ongezeko per yr then u bring ur lies here...tuwage wakweli aseeAcha uongo, mimi ni mmoja wa watumishi wa Umma, HATUJSAHAULIKA hata kidogo. Peleka majungu na uchonganishi huko kwenu Kaskazini.
Huyo ni kibaraka wa Lumumba mkuu.Hawa ni wasaliti na wabinafsi wakubwa.Wewe mtumishi wa umma secta gani unayebisha kwa lugha za kijinga? unaposema peleka majungu huko kwenu kaskazini unamaanisha huko kaskazini siyo Tanzania...wewe siyo mtumishi wa umma ni mtoto wa mjumbe wa nyumba 10
Usiwe na akili fupi,hata trump mlisemq hashindi leo mmekuwa wanafiki mnatuma salamu za pongezi. Hakuna marefu yasiyo na ncha.Kama na waabudu Mungu wangekuwa na imani kama hawa chadema hakika wangeenda mbinguni. Maana kila mda nikujipa matumaini ya ushindi huku wao wenyewe wakijua hawataweza kushinda kiti cha uraisi hadi mwisho wa dunia ufike, sawa wana chadema??
Zamu yenu inakuja na hiki kiburi chenu kitaisha tu.Mtajua nani ni boss wenu na nani ni mwajiri wenu.Namba utaisoma wewe mramba viatu
Uwezo wako wa kujenga hoja uko chini sana.
Kama unajielewa, jaribu kutafuta watu wenye uwezo kama wewe ili msaidiane kufundishana ujinga.
Samahani kama nimekukwaza!
Lakini pia pamoja na kuwa mtumishi wa umma kubwa nililo jifunza kwako na UNAFIKI wa kiwango cha juu kabisa.Acha uongo, mimi ni mmoja wa watumishi wa Umma, HATUJSAHAULIKA hata kidogo. Peleka majungu na uchonganishi huko kwenu Kaskazini.
Hivi kwa akili yako unadhani CCM itakaa kibwege bwege tu hadi upinzani uchukue nchi? HahahahahaaaaaaaTuna miaka minne ya kuendelea kuteswa na baada ya hapo tutaamua tena tuchague upinzani na tumkimbize pepo anayeitwa ccm au tumchague pepo ccm tena maisha yawe magumu zaidi ya haya
Huo ukanda na ukabila wako kaa nao uko ulipo...!ukishindwa kuwa na hoja humu zima cm lalaAcha uongo, mimi ni mmoja wa watumishi wa Umma, HATUJSAHAULIKA hata kidogo. Peleka majungu na uchonganishi huko kwenu Kaskazini.