Gullam
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 5,239
- 3,933
Mbona umekuwa mkali?Acha uongo, mimi ni mmoja wa watumishi wa Umma, HATUJSAHAULIKA hata kidogo. Peleka majungu na uchonganishi huko kwenu Kaskazini.
Mbona umekuwa mkali?Acha uongo, mimi ni mmoja wa watumishi wa Umma, HATUJSAHAULIKA hata kidogo. Peleka majungu na uchonganishi huko kwenu Kaskazini.
Mbowe amekujaje kwenye thread ya TUCTA?Mbona matawi ya chadema, mkoani Mbowe hapeleki hata mia ya ruzuku??
Hongera mtabiri, naona umehamia ukoo wa shehe Yayha.Kama na waabudu Mungu wangekuwa na imani kama hawa chadema hakika wangeenda mbinguni. Maana kila mda nikujipa matumaini ya ushindi huku wao wenyewe wakijua hawataweza kushinda kiti cha uraisi hadi mwisho wa dunia ufike, sawa wana chadema??
kisichoeleweka kipi hapo?mtaji wenu ulikuwa mabodaboda,sasa hivi wamepata akili na kurudi njia kuu hamna cha kuongea mnabaki kuzusha uongo,,endeleeni kulopoka na mtaswekwa ndani mpaka mkome na wanaowatumia hawana cha kuwasaidiaWenye akili tu! Ndio watakao elewa...
Pole ndugu sababu hutoelewa
Wewe umeshaambiwa wenye akili ndio wataelewa,sasa unachangia nini wakati wewe sio miongoni mwao?Acha uongo, mimi ni mmoja wa watumishi wa Umma, HATUJSAHAULIKA hata kidogo. Peleka majungu na uchonganishi huko kwenu Kaskazini.