Ndege Tai
JF-Expert Member
- May 6, 2020
- 4,046
- 7,450
Wadau tupate dondoo za Afya kidogo ili kuimarisha afya zetu na kuepukana na matatizo ya kiafya.
Sababu za figo kufeli ni zile zile ambazo zinaongelewa kila siku
1. Kula chumvi kupita kiasi
2. Kula nyama kupita kiasi,
Maana protini ikizidi sana katika mlo wako inadhuru figo zako. Mmeng'enyo wa Protini unazalisha amonia ama sumu ambayo ina uharibifu mkubwa kwa figo zako na kupelekea kufeli.
3. Unywaji mwingi wa Caffeine
Caffeine hutokana na Pombe, Soda na vinywaji vingine laini kama Kahawa, Redbull n.k. Hupandisha shinikizo la damu na figo kuanza kushindwa kufanya kazi yake taratibu.
4. Kutokunywa maji
Figo zetu lazima zichakatwe vizuri kutekeleza majukumu yake vizuri. Endapo hutokunywa maji ya kutosha, sumu inaweza kuanza kukusanyika katika damu, na kama hakuna kimiminika cha kutosha kutoa kwa njia ya figo.
Baadae itapelekea kushindwa kufanya kazi vizuri na kufeli.
Sababu za figo kufeli ni zile zile ambazo zinaongelewa kila siku
1. Kula chumvi kupita kiasi
2. Kula nyama kupita kiasi,
Maana protini ikizidi sana katika mlo wako inadhuru figo zako. Mmeng'enyo wa Protini unazalisha amonia ama sumu ambayo ina uharibifu mkubwa kwa figo zako na kupelekea kufeli.
3. Unywaji mwingi wa Caffeine
Caffeine hutokana na Pombe, Soda na vinywaji vingine laini kama Kahawa, Redbull n.k. Hupandisha shinikizo la damu na figo kuanza kushindwa kufanya kazi yake taratibu.
4. Kutokunywa maji
Figo zetu lazima zichakatwe vizuri kutekeleza majukumu yake vizuri. Endapo hutokunywa maji ya kutosha, sumu inaweza kuanza kukusanyika katika damu, na kama hakuna kimiminika cha kutosha kutoa kwa njia ya figo.
Baadae itapelekea kushindwa kufanya kazi vizuri na kufeli.