Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 13,214
- 20,988
Mm ni kijana in the late 30's nimepita pita school vya kutosha tu, kuanzia O level, Advance mpaka chuo kikuu na kote huku kulikuwa kitonga tu kutokana na juhudi zangu ktk masomo, kiukweli Nina miaka zaid ya mi5 toka nimalize chuo lakin Mara kwa Mara nimekuwa nikiota kwamba nakutana na changamoto nyingi sana hasa ninapofanya mitihani, mfano ni Jana tu nimeota niko kwenye mitihani ya Necta ya form 6, nimechelewa kuingia kwenye chumba cha mtihani kama masaa ma 2 huku mtihani ukiwa ni wa masaa 3 maana nilikuwa nimechelewa kuamka hostel,
Sasa ile kufika wasimamizi wakanigomea kuingia kwenye chumba cha mtihani, nikajaribu kuwaomba wakaniruhusu niingie huku ikiwa imebaki SAA 1 muda kuisha, nilipopewa mtihani kuna wanafunzi wakawa wamemaliza wanatoka nje, hicho kitu kilinipa stress mwisho wa mtihan msimamizi anakuja kusanya sijajibu swali hata moja ndio nikashtuka usingizini......
Huu ni mfano mmoja tu lakini nishaota nyingi za mtindo huu na zinanikera sana ukizangatia sikuwa kuwa na changamoto za aina hii kote nilipopita, labda kuna chochote zinamaanisha?
Sasa ile kufika wasimamizi wakanigomea kuingia kwenye chumba cha mtihani, nikajaribu kuwaomba wakaniruhusu niingie huku ikiwa imebaki SAA 1 muda kuisha, nilipopewa mtihani kuna wanafunzi wakawa wamemaliza wanatoka nje, hicho kitu kilinipa stress mwisho wa mtihan msimamizi anakuja kusanya sijajibu swali hata moja ndio nikashtuka usingizini......
Huu ni mfano mmoja tu lakini nishaota nyingi za mtindo huu na zinanikera sana ukizangatia sikuwa kuwa na changamoto za aina hii kote nilipopita, labda kuna chochote zinamaanisha?
