kama una kimini hukai. huku tumezoea kuona wenye vimini wakikaa kwenye mapaja waact kulaza mkoba wao. sasa kule na kimini chako juu unaweka mkoba wa mbele yako anakuangalia kupitia chini. ova
kutoka msikiti wa madole mpaka kwa batashi lazima upitie mchambawima? halafu ni chafu mno, mara damu toka juu ya paa zizizojulikana za mnyama gani aliyepakiwa kwenye kipaa
kutoka msikiti wa madole mpaka kwa batashi lazima upitie mchambawima? halafu ni chafu mno, mara damu toka juu ya paa zizizojulikana za mnyama gani aliyepakiwa kwenye kipaa