Hizi ndizo speed za Tigo 4G LTE

Hizi ndizo speed za Tigo 4G LTE

Hatutoweza kukupa majibu sahihi ki vile mpaka usome page yao ya 4G
Nimeweka link hapo juu na hapa chini....
4G ipo Masaki na Mlimani City area tu kadri ya maelezo ndani ya website yao
Lakini mm nipo Upanga Magharibi napata hiyo 4G
Hauwezi tumia kifurushi cha 3G kupa speed ya 4G lazima ununue kifurushi cha 4G bei yake ni 10,000/= per 1GB per week....
Ikumbukwe line ya 4G inaweza tumika kufanya kazi zote ambazo zinafanywa na line ya 3G hivo naweza kuiita "ALL in 1"
Mikoani watafika August na wanajitaidi kiukweli kwa hapa nilipo

TEMBELEA HAPA Tigo 4G | Tigo.co.tz

Shukrani mkuu

Nipo ndani ya dar ila 3G inapotea yenyewe...
Nitauhama huu mtandao...
 
hawa jamaa nimejitahidi sana kua nao ila wamenishinda....nimevumilia nkaona najipoteza mwenyewe nimewatupa kule
 
Njunwa Wamavoko tigo wamekupa kamlungula nini uwape promo nahisi wamekuona una convicing power ila nimeikumbuka hii mkuu so kwa ubaya am joking in serius matters
11665490_401491103369000_660671042670165932_n.jpg
 
Last edited by a moderator:
Njunwa Wamavoko tigo wamekupa kamlungula nini uwape promo nahisi wamekuona una convicing power ila nimeikumbuka hii mkuu so kwa ubaya am joking in serius matters
11665490_401491103369000_660671042670165932_n.jpg

Hehe!! Naupigia promo mtandao unaofanya vizuri ule unaozingua hautufai unazidi kutufanya tuzidi kubaki nyuma kiteknolojia....
kuna vitu vingi bado tunaviitaji ambavyo vinataka internet yenye Ping speed kidogo kama IPTV,kama hii ping speed ya tigo 4G ndo mpango japo najua haitakua maeneo yote ya Dar ila kwa hapa nilipo ikiendelea hivi nategemea kutotumia madishi tena ntakua mm na Android TV boxes na Raspberry Pi boxes :smile-big:

Japo najua haijawa na watumiaji wengi ila wanajitaidi kwa hapa nilipo

X5hBu5.png
 
Hehe!! Naupigia promo mtandao unaofanya vizuri ule unaozingua hautufai unazidi kutufanya tuzidi kubaki nyuma kiteknolojia....
kuna vitu vingi bado tunaviitaji ambavyo vinataka internet yenye Ping speed kidogo kama IPTV,kama hii ping speed ya tigo 4G ndo mpango japo najua haitakua maeneo yote ya Dar ila kwa hapa nilipo ikiendelea hivi nategemea kutotumia madishi tena ntakua mm na Android TV boxes na Raspberry Pi boxes :smile-big:

Japo najua haijawa na watumiaji wengi ila wanajitaidi kwa hapa nilipo

X5hBu5.png
hivi mkuu ping ikiwa ndogo ndo vzur au ikiwa kubwa
 
Back
Top Bottom