Ni nani huyo? Lini alifanya hivyo? Wapi na kwa nani? Sema tumchape...!Inasikitisha sana mtu kaoa tena ndoa ya kimungu na kwa heshima kubwa halafu unamkuta kwenye madanguro na mausiku klabu, kikubwa anatafuta malaya na hana ugomvi na mkewe kisa tamaa tu. kuna mana gani ya kuoa halafu unakuwa na tamaa kibao za wanawake wengine, ki ukweli hili linanichefua sana tena sana. wanaJF tuungane kuwashauri wanandoa wenye akili mbovu kama hizi....
Wewe ni HE au SHE?, umeoa/olewa?!. Ukiona baba anamucha mwenza kitandani na kwenda kwa wajasiliamali ujue huyu aliyeachwa ndani is a problem too.
kwa hiyo unamaanisha ndoa ni sex? na ukioa ukamkuta mkeo au mmeo hakuna ile kitu ndo mnaachana? au akipata ajali akawa functionless ndio ndoa inavunjika?
au unamaanisha wasiokuwa na ndoa ni sawa kwenda kwenye madanguro na kuchukua malaya? huyo Mungu anayeruhusu haya na kukataza yale ni yupi?
unazungumzia very very complicated subject which certainly you know nothing about it!
Sio wakware, tumekuwa wepesi kulaumu matatizo yanayoonekana ambayo chanzo chake huwa hakionekani na wengi hawapendelei kusema. Mtu tangu utotoni kazoe kamchezo ka kuwa na wanawake wengi, leo akitaka kuoa atatakiwa kulipa mafungu ya kumi tu, akifunga ndoa huo mchezo wa zamani anaacha kwa mechanism gani?
kuna sababu nyingi sana na kama ni GT inabidi kuangalia mzizi wa tatizo
1.malezi
2. kampani
3. saikolojia
4. financial
5. frustration za ndani ya nyumba na nje
6. Nature
wengine ni nature tu, I would say 99% of african male/men are born to bonkey many many women, that was before christianity and muslim to come ove to our continents
ukiangalia nature za mababu wetu walikuwa wanaona wake sita saba mpaka basi, vile vinasaba vyao vile viko mpaka leo hii na watu utakuta wana vinyumba vidogo tunawalaumu tu
Ili nature ibadilike wa kutatua ni kumpa Yesu maisha yako ili akuumbe upya , nje ya hapo is just wasting time tu kujadili topic ambayo hata mleta maada anajua fika na yeye ina mgusa.
muulize mtoa maada kama ameoa, muulize kama bado ameisha lala na wenzi wangapi, na kama ameoa alishalala nao wangapi hapo kabla! INATISHA!
duh...watu wakware humu...
Inasikitisha sana mtu kaoa tena ndoa ya kimungu na kwa heshima kubwa halafu unamkuta kwenye madanguro na mausiku klabu, kikubwa anatafuta malaya na hana ugomvi na mkewe kisa tamaa tu. kuna mana gani ya kuoa halafu unakuwa na tamaa kibao za wanawake wengine, ki ukweli hili linanichefua sana tena sana. wanaJF tuungane kuwashauri wanandoa wenye akili mbovu kama hizi....
mamndenyi kumbuka kuna siredi ilitoka na kutoa kalipio kaali kwa wanaopita tu njia akati kuna suala linajadiliwanapita njia hapa.
napita njia hapa.
mamndenyi kumbuka kuna siredi ilitoka na kutoa kalipio kaali kwa wanaopita tu njia akati kuna suala linajadiliwa