Nilifikiri amemaanisha hawa walivyo kwenye picha after 35yrs basi hamna maigizo, ni genuine.
Wale wa 35+yrs kulea watoto mbona wanajulikana.
Kwanza picha zao za pamoja utazipata kwa bahato mbaya, utakuta ndugu alilazimisha kuwapiga picha.
Pili hawagusani hata kwa bahati mbaya.
Tatu wakigusana unaona kabisa anayeguzwa ni kama anaomba msaada kutolewa eneo hilo.
Sijui niendelee au niachane na yasiyonihusu