Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
- Thread starter
- #21
Tumekuwa taifa la watu wa ajabu tunaothamini vitu kuliko utu.Salary Slip acha wakunyooshee vidole lakini ndio ukweli, kesi hii imetutia aibu kama nchi.
Naibu waziri wa mambo ya nje kaenda kukaa huko wiki nzima kwa sababu ya kukomboa Mali yetu iliyoshikwa sio kwa uonevu, bali kwa kutaka kudhulumu deni tusilipe.
Huku nyumbani tunawadhulumu waalimu, waganga na makandarasi tunaona sifa na kwa vile huu ni utawala wa kiimla kama Korea Kaskazini hawana la kufanyà.
Kukamatwa kwa ndege sio mwisho bali ni mwanzo tuu kwani madeni huko nje ni mengi mno
Mimi siwezi kuunga mkono hali hii hata kidogo.