brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
1:Mlilala handingwa handingwa mwenye macho haambiwi tule
2: Pema usijapo pema ukipema si pema tena
3:Mwenda tezi na omo marejeo ngamani
4:Oteo ulisemaje, nipe nikupe
5:Ganda la muwa la jana chungu kaona kivuno
6:Utamu wa funza kukata kidole
7:Konzi mwana mandanda kulala njaa kupenda
8:Maji ya kifuu ni bahari ya chungu
9:Mchama ago hanyeli
10:Shimo la ulimi mkono haufutiki
2: Pema usijapo pema ukipema si pema tena
3:Mwenda tezi na omo marejeo ngamani
4:Oteo ulisemaje, nipe nikupe
5:Ganda la muwa la jana chungu kaona kivuno
6:Utamu wa funza kukata kidole
7:Konzi mwana mandanda kulala njaa kupenda
8:Maji ya kifuu ni bahari ya chungu
9:Mchama ago hanyeli
10:Shimo la ulimi mkono haufutiki