Resurrection
JF-Expert Member
- Jun 8, 2020
- 751
- 930
Hiyo ni Sound systerm miziki yote mizuri inategemea una sound systerm gani unaweza ukenda pahali ukasikia nyimbo utafikiria debe bovu na vile vile unaweza kwenda sehemu ukasikia nyimbo utafikiria unaelea hewani ukajikuta unacheza bila kutaka na mpk muimbaji ukata kujua nani huyu.Aiseeee, mziki ukiwa mzuri unavutia asikwambie mtu
Mkuu hapa kwa kuwa mada ni HT inabidi uchangie kwa upande huo , ila honestly hata mie Sijawahi kuzikubali Home theatre, nyingi wame focus kwenye details za high na low , sio midi. kwa hapa bongo , mie ni muumimi wa maredio flan ya mtumba kutoka japan hayanaga sura na si rafiki sana kwenye bill za umeme Ila they rock!!HT mnazisifia bure. Mimi ninayo Dz 650 hiyo aliyozungumzia mtoa mada lakini huwezi amini sijawahi kupata sound ya maaana.
Sound yake haiko balanced...bass na mchele haujabalance...ukiongeza sauti bass inazidi hadi inakera na mchele hausikiki vizuri.
Connection zote ziko sawa, kila spika na port yake na EQ na Surround nimecheza nazo sana lakini saundi ya hii redio sijawahi kuielewa. Nipige kwa CD, flash au bluetooth ndo kabisaa
Nilikua na SABUFA YA BOSS aisee ilikua inachuja kinoma.
Zinapatikana wapi mzee?Mkuu hapa kwa kuwa mada ni HT inabidi uchangie kwa upande huo , ila honestly hata mie Sijawahi kuzikubali Home theatre, nyingi wame focus kwenye details za high na low , sio midi. kwa hapa bongo , mie ni muumimi wa maredio flan ya mtumba kutoka japan hayanaga sura na si rafiki sana kwenye bill za umeme Ila they rock!!
Get bluetooth aptx receiver na Hilo dude halafu upate na madilu system album , unaeza fikiria madilu mwenyewe ndo yupo sebuleni kwako anakutumbuiza
daah huu kweli wa kibabeHii nadhani mziki wake mpk ardhi inatikisika halafu JBL mziki wake hata ukiweka sauti ya chini bado unaingia mpk moyoni kibabe
Niliwahi kummuliza jamaa mmoja wa Rfa kuhusu music quality wa radio yao kiss fm , Kama unakumbuka haikuwa na quality nzuri kulinganisha naradio zingine, alichoniambia ni kuwa ni gharama sana kutangaza sterio broadcasts, inawezekana radio nyingi zimeachana nayo.Hivi siku hizi hamna FM zenye stereo. Maana ile taa siku hizi haiwaki ilikuwa inawaka kipindi kile radio one ya kina Mike Mhagama na kina Flora Nducha
Kariakooo Kuna mkongo mmoja anaziletaga , Ila wakati fulani zinaishia na unaweza kukuta ni za kusubiri .Zinapatikana wapi mzee?
Hizo zitanifaa. Mimi ni kijana mdogo najihusisha na kazi za muziki pia ila hua nikijisikiliza kwenye redio yangu hua nakata tamaa kabisa. Ila studio nikijiskiloza hua ni fresh tu
Naomba picha inisaidie kuifaham nataka niitafte mkuuKariakooo Kuna mkongo mmoja anaziletaga , Ila wakati fulani zinaishia na unaweza kukuta ni za kusubiri .
Zamani zilikuwa nyingi sana niliinunua moja mwaka 2007 Hadi leo ipo na ya mwisho nimenunua mwaka 2014 , nilienda tena mwaka juzi baada ya speaker moja kuliwa na panya , akaniuzia pair moja,
Yani zipo mpaka 9.1View attachment 1676297
Hiyo ni Soundbar 5.1
Tatizo Home theater nying saiz za kariakoo feki...huenda na yako sio..au kama yenyew basi kuset imekutoa nishai..mcheki Extrovert akusaidieHT mnazisifia bure. Mimi ninayo Dz 650 hiyo aliyozungumzia mtoa mada lakini huwezi amini sijawahi kupata sound ya maaana.
Sound yake haiko balanced...bass na mchele haujabalance...ukiongeza sauti bass inazidi hadi inakera na mchele hausikiki vizuri.
Connection zote ziko sawa, kila spika na port yake na EQ na Surround nimecheza nazo sana lakini saundi ya hii redio sijawahi kuielewa. Nipige kwa CD, flash au bluetooth ndo kabisaa
Nilikua na SABUFA YA BOSS aisee ilikua inachuja kinoma.
Hii nilichukua kwa jamaa flan anauza vitu kwa njia ya mtandao ila anaduka pia sinza...anaitwa AMAZINGTatizo Home theater nying saiz za kariakoo feki...huenda na yako sio..au kama yenyew basi kuset imekutoa nishai..mcheki Extrovert akusaidie
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Wala haja overate hyo jbl..kaongea ukwel vitu inafanya hyo kampuni...hizi brand zote kubwa ni wakali...yani bose,jbl, Harman,denon,sonos,kliepch etc hao wote maninja wa mzikiJbl ni nzuri Ila umei overate sana mkuu
Afadhali hata ungeniambia bose na harman kardon Hk au Bang and olufsen BO
Sony anatengeneza muziki mzuri kwa Bei nafuu , Kama unavyoona magari ya japan( toyota nissan n.k) yalivyo ukilinganisha na magari ya ulaya (benz ,bmw n.k)
Niliona home theatre ya Bo ilikuwa ni Dola 14000, na haikuwa top of the range.
Jbl ni nzuri sikatai Ila sio kam ulivyo ipamba
Hii flip 4 au? Charger series ndio nazpenda..balaa
Amazing wale sasa wanauza sony za wapi sjui...sio malaysia..hyo dz 650 yenyew kishindo...hebu ongea na Extrovert vizur alikua nayo na anaijua vzrHii nilichukua kwa jamaa flan anauza vitu kwa njia ya mtandao ila anaduka pia sinza...anaitwa AMAZING
Wanauza za kutoka Arabuni wale.Amazing wale sasa wanauza sony za wapi sjui...sio malaysia..hyo dz 650 yenyew kishindo...hebu ongea na Extrovert vizur alikua nayo na anaijua vzr
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Nadhani hujanielewa , sijakata kuwa Jbl ni za kibabe , nilichokuwa najaribu kusema sio jbl pekee ,bali Kuna wababe wengineWala haja overate hyo jbl..kaongea ukwel vitu inafanya hyo kampuni...hizi brand zote kubwa ni wakali...yani bose,jbl, Harman,denon,sonos,kliepch etc hao wote maninja wa mziki
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Hii flip 4 au? Charger series ndio nazpenda..balaa
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Hivi vitaka taka vya kariakoo siviamini, nahisi katakua Pure chinese crap
Mziki wa kukupa hizi detail ni lazima uwe na Dedicated Amp, sio zile integrated Amps.Mkuu hapa kwa kuwa mada ni HT inabidi uchangie kwa upande huo , ila honestly hata mie Sijawahi kuzikubali Home theatre, nyingi wame focus kwenye details za high na low , sio midi. kwa hapa bongo , mie ni muumimi wa maredio flan ya mtumba kutoka japan hayanaga sura na si rafiki sana kwenye bill za umeme Ila they rock!!
Get bluetooth aptx receiver na Hilo dude halafu upate na madilu system album , unaeza fikiria madilu mwenyewe ndo yupo sebuleni kwako anakutumbuiza