Naonaga Viongozi wakubwa wanazo nazichukulia Poa zipo hadi za Tsh.20MillionHizo wanaita Satellite phones. Kwa Tanzania sidhani kama **** kuna company inazisambaza (kwamba unaweza kununua hapo na ukawa na account kwa ajili ya malipo).
inauzwa million 20 ati!Kabaya hivyo ka nini sasa
Sababu ya viongozi wengi wakubwa kutumia ni hiyo, kwamba hazitumii mitandao ya simu, zenyewe mawasiliano yake ni moja kwa moja kwenye satellite. Kwa hiyo betri yake ikiwa imejaa popote alipo anapata mawasiliano.Naonaga Viongozi wakubwa wanazo nazichukulia Poa zipo hadi za Tsh.20Million
Ina nini ? Labda watumir kina dangote wanaoogopa kudukuliwainauzwa million 20 ati!
Azam wanasambaza zinaitwa Thuraya satelite phone nadhaniHizo wanaita Satellite phones. Kwa Tanzania sidhani kama **** kuna company inazisambaza (kwamba unaweza kununua hapo na ukawa na account kwa ajili ya malipo).
unataka ya kupangusa mkuuKabaya hivyo ka nini sasa
inawezekana pia si rahisi kudukuliwaSababu ya viongozi wengi wakubwa kutumia ni hiyo, kwamba hazitumii mitandao ya simu, zenyewe mawasiliano yake ni moja kwa moja kwenye satellite. Kwa hiyo betri yake ikiwa imejaa popote alipo anapata mawasiliano.