The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Huyu dada ni mgonjwa. Haiwezekani hips ziwe zimechomoza ghafla hivyo. Hamna relation na miguu kabisa
Huyu dada ni mgonjwa. Haiwezekani hips ziwe zimechomoza ghafla hivyo. Hamna relation na miguu kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimemkagua mara mbili mbili anafanana na Jamila aliyecheza kama mtoto wa kanumba kwenye Big DadyNikisema vibaya nisije nikasema nina wivu hivi huyu sio wa bongoo movies
Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo baskeli inaonyesha sio bongo mkuu, MOBIKE itakuwa far east bilashaka, Pia hiyo aina ya fly over na sio daraja kama ukiangalia kwa makini utaona kuwa kunavibao vya blue kule mbele. Probably China
hata sura dhoofu sanaHuyu dada ni mgonjwa. Haiwezekani hips ziwe zimechomoza ghafla hivyo. Hamna relation na miguu kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hips, Made in CHina
Huyu dada ni mgonjwa. Haiwezekani hips ziwe zimechomoza ghafla hivyo. Hamna relation na miguu kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi hata hayo mazingira ya barabara bila shaka yanaonyesha ni Chinahiyo baskeli inaonyesha sio bongo mkuu, MOBIKE itakuwa far east bilashaka, Pia hiyo aina ya fly over na sio daraja kama ukiangalia kwa makini utaona kuwa kunavibao vya blue kule mbele. Probably China
Kumbe huwa anaitwa"dulla" kichwawazi piaWanaume tunapitia mengi sana..sasa huyu ukimuona kwa nje moyo unajaa tamaa "dulla" kichwa wazi anatutumka...cha ajabu ikatokea akakutunuku "Bumunda" unakuja kugundua nothing special..utamgeuza geuza mwisho wa siku unamuacha nayo..aaargh!