Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Watu wanne wamepoteza maisha papo hapo baada ya taxi kuvaana uso kwa uso na lori maeneo ya kinyanambo,mafinga mkoani iringa.Ajali imetokea baada ya taxi kujaribu kumkwepa mwenda kwa baiskeli na hatimaye kulivaa lori.R.I.P Kwa wale waliopoteza maisha.Source:Ebony Fm.