myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,062
Hata kichwa cha Mkweree ni feki. Kichwa kinawaza bongo fleva na safari hakiwezi Kuwa orijino hats kidogo
Wee bujiiiii...
Hata kichwa cha Mkweree ni feki. Kichwa kinawaza bongo fleva na safari hakiwezi Kuwa orijino hats kidogo
Kafanyaje?? anahusikaje hapa??
huu sasa ni ukorofi,mke wa mtu ana ingiaje hapa?
Wala si hivyo, Neno feki hutumiwa na walarushwa ambao hawajui hata kutengenza sindano ila wanajua kuhusu kompyuta feki :yawn:Hivi kitu kikiwa low standard ndio kinaitwa fake?
unachokizungumza kipo na kinafanyika lakini kwa bidhaa chache sana,ila kwa ujumla wake watanzania na waafrika tunatumia vitu vingi fake,from head to toe.Bidhaa znatengenezwa kulingana na soko husika.
Pia Cocacola ya tz uwezi linganisha na ya UK au USA, je ni FAKE ?
Chama kimoja wagombea zaidi ya 30 wengi ni fake!