Hivo kwanini whatsap wanablock watumiaji?

Hivo kwanini whatsap wanablock watumiaji?

KUDOLE CHA MWISHO

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2017
Posts
407
Reaction score
896
Habari wana jamvi! Kwanza habari za mchana.

Thread yangu ni juu ya whatsap kwamba unakuta wanakublock.


Kwa wale wataalamu embu tusaidieni!
Screenshot_20190625-122408.jpeg
 
Kwasababu unatumia unofficial whatsapp app lama gbwhatsapp na kadhalika
 
Si ya kwao!!!.
Sio yao, yao wao ni official whatspp, cha ajabu ukihamua kuacha kutumia official whatspp ukahamua kutumia GB whatsapp,, whatspp official wanakupiga BAN from nowhere jaman
 
Kwan lazima kutumia Official whatspp, si maamuzi yangu Nitumie whatspp ipi, hao whatspp official wana mamlaka gani kumpiga mtu BAN kwakutotumia App yao eti
Mamlaka wanayo ndo maana mnakula BAN
 
Ama kweli mtaangamia kwa kukosa maarifa.. Alafu ulivyo andika utadhani hiyo WhatsApp ni ya baba yako..

Mamlaka gani? Kweli hili ni swali la kuuliza mbele ya hadhara? Aibu gani hii.. Biashara za watu hizo... Ohh

Wanayo mamlaka hata ya kukufungia usitumie mali yao mina.

Labda utengeneze ya kwako..

Tuwe na tabia ya kusoma terms and conditions kabla ya kujiunga mitandao au kutumia vitu vya watu.
Kwan lazima kutumia Official whatspp, si maamuzi yangu Nitumie whatspp ipi, hao whatspp official wana mamlaka gani kumpiga mtu BAN kwakutotumia App yao eti
 
Kwan lazima kutumia Official whatspp, si maamuzi yangu Nitumie whatspp ipi, hao whatspp official wana mamlaka gani kumpiga mtu BAN kwakutotumia App yao eti
Ni lazima ndio, kama hutaki WhatsApp yao si utengeneze na wewe app yao ndio utumie
 
Back
Top Bottom