Hivi zile milioni 20 ambazo Rais Magufuli amewaahidi wajasiriamali wa Ferry, zinatoka mfukoni mwake au kwenye Hazina yetu ya Taifa?

Mystery

JF-Expert Member
Mar 8, 2012
15,484
30,156
Tulimsikia wenyewe Rais wetu Magufuli akiwaahidi wajasiriamali wa samaki pale Ferry kuwa atawaletea pesa shilingi milioni 20 ili ziwaaaidie katika kuinua msingi wa biashara yao

Hapo hapo tukamsikia Mama yetu Janeth Magufuli naye akiahidi kutoa shilingi milioni 5 kwa wajasiriamali hao

Swali ninalojiuliza hivi hizo pesa zitatoka mifukoni mwao au zinatoka kwenye Hazina yetu ya Taifa?

Ikiwa pesa hizo zinatoka kwenye hazina yetu ya Taifa atueleze Mheshimiwa Rais ni lini Bunge letu liliidhinisha pesa hiyo kutolewa kwa wajasiriamali hao?

Kama pesa hizo zinatoka mifukoni mwake Mheshimiwa Magufuli, basi yeye ni mtu mwenye ukwasi mkubwa hapa nchini

Na kama pesa hizo zitakuwa zinatoka kwenye Hazina yetu ya Taifa bila kuidhinishwa na Bunge letu, hayo ni matumizi mabaya kabisa ya madaraka kwa Rais wetu na hapo ndipo hata ile hoja ya Mheshimiwa Zitto Kabwe inazidi kupata nguvu........

Kutumia ibara ya 37(2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2005

YAJAYO YANASIKITISHA SANA!
 
Naona nchi hii tunaugeuza ni utaratibu wa kawaida kwa Rais wetu kuwagawia "maburungutu" ya pesa wananchi hao wanyonge........

Lakini tumeshawahi kujiuliza hizo pesa Mheshimiwa Rais anatoa wapi??
 
Nadhani inatoka katika bajeti ya ikulu,Rais huwa anafungu anatengewa na bunge kwa ajili ya mambo mambo madogo madogo kama hayo kuboost maendeleo!
Pesa hizo hazikaguliwi na CAG kama sikosei,zikishatoka zinetoka!
 
Nadhani inatoka katika bajeti ya ikulu,Rais huwa anafungu anatengewa na bunge kwa ajili ya mambo mambo madogo madogo kama hayo kuboost maendeleo!
Pesa hizo hazikaguliwi na CAG kama sikosei,zikishatoka zinetoka!
Mbona hatukuwahi kuwaona marais wenzake waliomtangulia akina Mwinyi, Mkapa na Kikwete wakigawa "maburungutu" hayo kwa wananchi, ikiwa pesa hizo zimetengwa na Bunge na zipo Ikulu??
 
Mbona hatukuwahi kuwaona marais wenzake waliomtangulia akina Mwinyi, Mkapa na Kikwete wakigawa "maburungutu" hayo kwa wananchi, ikiwa pesa hizo zipo Ikulu??
Mkuu bajeti ya ikulu hiyo,kama JK alivyomsaidiaga Ray C,ni fungu hilo hilo!Ukisikia Rais leo kaendesha harambee na yeye kachangia,ni fungu hilo hilo!
Shida ni kuwa,huyu wa sasa anatoa ili apate sifa!Hana utaratibu mzuri wa kuzitoa!
Kwenye hizo pesa,akichukua hata mil 400,500 akatia kibindoni,hakuna wa kuhoji
 
Tulimsikia wenyewe Rais wetu Magufuli akiwaahidi wajasiriamali wa samaki pale Ferry kuwa atawaletea pesa shilingi milioni 20 ili ziwaaaidie katika kuinua msingi ya biashara yao

Hapo hapo tukamsikia Mama yetu Janeth Magufuli naye akiahidi kutoa shilingi milioni 5 kwa wajasiriamali hao

Swali ninalojiuliza hivi hizo pesa zitatoka mifukoni mwao au zinatoka kwenye Hazina yetu ya Taifa?

Ikiwa pesa hizo zinatoka kwenye hazina yetu ya Taifa atueleze Mheshimiwa Rais ni lini Bunge letu liliidhinisha pesa hiyo kutolewa kwa wajasiriamali hao?

Kama pesa hizo zinatoka mifukoni mwake Mheshimiwa Magufuli, basi yeye ni mtu mwenye ukwasi mkubwa hapa nchini

Na kama pesa hizo zitakuwa zinatoka kwenye Hazina yetu ya Taifa bila kuidhinishwa na Bunge letu, hayo ni matumizi mabaya kabisa ya madaraka kwa Rais wetu na hapo ndipo hata ile hoja ya Mheshimiwa Zitto Kabwe inazidi kupata nguvu........

Kutumia ibara ya 37(2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2005

YAJAYO YANASIKITISHA SANA!
Viongozi wakuu huwa wana fungu maalumu kuhamasisha maendeleo, mfano hata juzi Mkuu RC wa Iringa katoa laki tano kumsaidia alievunjiwa nyuma
 
Mbona hatukuwahi kuwaona marais wenzake waliomtangulia akina Mwinyi, Mkapa na Kikwete wakigawa "maburungutu" hayo kwa wananchi, ikiwa pesa hizo zimetengwa na Bunge na zipo Ikulu??
RAIS NDIYE MMILIKI WA HELA ZOTE ZA TANZANIA NA ANA MAMLAKA YA KUZITUMIA ATAKAVYO....HIVYO HIYO MILL 20 NI NDOGO SANA KUIJADILI MAANA KWAKE HIYO NI POSHO TUUU''''
ACHA USHAMBEGA BAWACHA HELA YA WATANZANIA WAMEPEWA WATANZANIA...
 
Tulimsikia wenyewe Rais wetu Magufuli akiwaahidi wajasiriamali wa samaki pale Ferry kuwa atawaletea pesa shilingi milioni 20 ili ziwaaaidie katika kuinua msingi ya biashara yao

Hapo hapo tukamsikia Mama yetu Janeth Magufuli naye akiahidi kutoa shilingi milioni 5 kwa wajasiriamali hao

Swali ninalojiuliza hivi hizo pesa zitatoka mifukoni mwao au zinatoka kwenye Hazina yetu ya Taifa?

Ikiwa pesa hizo zinatoka kwenye hazina yetu ya Taifa atueleze Mheshimiwa Rais ni lini Bunge letu liliidhinisha pesa hiyo kutolewa kwa wajasiriamali hao?

Kama pesa hizo zinatoka mifukoni mwake Mheshimiwa Magufuli, basi yeye ni mtu mwenye ukwasi mkubwa hapa nchini

Na kama pesa hizo zitakuwa zinatoka kwenye Hazina yetu ya Taifa bila kuidhinishwa na Bunge letu, hayo ni matumizi mabaya kabisa ya madaraka kwa Rais wetu na hapo ndipo hata ile hoja ya Mheshimiwa Zitto Kabwe inazidi kupata nguvu........

Kutumia ibara ya 37(2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2005

YAJAYO YANASIKITISHA SANA!
Umepewa majibu unayakataaa sasa kama majibu ulikuwa nayo yanini ulileta mada. Sio Mhe. Rais pekeee anayeweza kutoa ahadi hiyo ya Mil.20 ukashangaaa kuwa zitatoka wapi. Ingia kwenye Bajeti ya serikali uisome Vizuri na Utambue kuwa HATA MHE. MKUU WA MKOA ANAFUNGU LA TAKRIBANI 30 mpaka 60 MIL kwa mwaka kutoa Ahadi kama hizo lengo ikiwa ni kuwezesha Jamii inayomzunguka kujikwamua ama Kuhamasisha Maendeleo. Go and ask for "Polical Fund". Usiniulize kifungu hicho kwa Mhe. RAIS kina wigo gani ila nenda kafanye study urudi.
 
RAIS NDIYE MMILIKI WA HELA ZOTE ZA TANZANIA NA ANA MAMLAKA YA KUZITUMIA ATAKAVYO....HIVYO HIYO MILL 20 NI NDOGO SANA KUIJADILI MAANA KWAKE HIYO NI POSHO TUUU''''
ACHA USHAMBEGA BAWACHA HELA YA WATANZANIA WAMEPEWA WATANZANIA...
Lakini huoni kuwa hiyo ni kujtafutia "cheap popularity" kwa wapiga kura wake??
 
One man show ndiye pay master wetu
Hela za rambi rambi za waathirika huko Bukoba kwenye tetemeko la ardhi, alizipeleka kwenye ujenzi wa mambo ya kijamii kujenga hospitali. Hela za rambi rambi za waathirika huko Ukerewe, alizipeleka kwenye mambo ya kijamii ujenzi wa wodi tatu. Sipingi ujenzi huu,

Ila zile hela za rambi rambi chato za marehem dada mbona hajazipeleka kwenya jambo lolote la kijamii??? Hata ukarabati wa kituo cha polisi au ofisi ya mwenye kiti wa serekali ya kijiji tu
 
Tulimsikia wenyewe Rais wetu Magufuli akiwaahidi wajasiriamali wa samaki pale Ferry kuwa atawaletea pesa shilingi milioni 20 ili ziwaaaidie katika kuinua msingi ya biashara yao

Hapo hapo tukamsikia Mama yetu Janeth Magufuli naye akiahidi kutoa shilingi milioni 5 kwa wajasiriamali hao

Swali ninalojiuliza hivi hizo pesa zitatoka mifukoni mwao au zinatoka kwenye Hazina yetu ya Taifa?

Ikiwa pesa hizo zinatoka kwenye hazina yetu ya Taifa atueleze Mheshimiwa Rais ni lini Bunge letu liliidhinisha pesa hiyo kutolewa kwa wajasiriamali hao?

Kama pesa hizo zinatoka mifukoni mwake Mheshimiwa Magufuli, basi yeye ni mtu mwenye ukwasi mkubwa hapa nchini

Na kama pesa hizo zitakuwa zinatoka kwenye Hazina yetu ya Taifa bila kuidhinishwa na Bunge letu, hayo ni matumizi mabaya kabisa ya madaraka kwa Rais wetu na hapo ndipo hata ile hoja ya Mheshimiwa Zitto Kabwe inazidi kupata nguvu........

Kutumia ibara ya 37(2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2005

YAJAYO YANASIKITISHA SANA!
Yesu akasema, niletee sarafu kisha akauliza: hii picha ya nani? Wakamwambia: ni picha ya Kaisari! Akawajibu: ya Kaisari mwachie Kaisari!
 
Hela za rambi rambi za waathirika huko Bukoba kwenye tetemeko la ardhi, alizipeleka kwenye ujenzi wa mambo ya kijamii kujenga hospitali. Hela za rambi rambi za waathirika huko Ukerewe, alizipeleka kwenye mambo ya kijamii ujenzi wa wodi tatu. Sipingi ujenzi huu,

Ila zile hela za rambi rambi chato za marehem dada mbona hazijajenga mambo ya kijamii?? Hata ukarabati wa kituo cha polisi au ofisi ya mwenye kiti wa serekali tu
Hahaaaaa.......:D:D

Kumbe pesa ya kutafuna ni ya hao wengine, lakini ya "close relative" big NO
 
Back
Top Bottom