Hivi Zanzibar wana shirika la ndege?

Hivi Zanzibar wana shirika la ndege?

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,650
Reaction score
20,994
Zanzibar wanategemea sana utalii. Inaingia akilini wakimiliki shirika la ndege. Wanalo? Wamewahi kuwa nalo?
 
Zanzibar wanategemea sana utalii. Inaingia akilini wakimiliki shirika la ndege. Wanalo? Wamewahi kuwa nalo?
Kwani si ni part ya Tanzania na hiki ndicho raisi anajaribu kufuta. Tunajiuta nchi moja lakini utendaji wetu ni wa nchi mbili mpaka tunacompete
 
Kwani si ni part ya Tanzania na hiki ndicho raisi anajaribu kufuta. Tunajiuta nchi moja lakini utendaji wetu ni wa nchi mbili mpaka tunacompete
Nchi moja kwenye makaratasi. Mbona watu wa bara hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar. Tena moja ya vipengele vya kijinga vya muungano ni hiki.
 
Back
Top Bottom