Sio kweli kwamba wazawa walishindwa kutamka au kujua maana halisi ya neno young. Ukweli ni kwamba kuna muda ulifika kukawa na vuguvugu la vijana kutaka kuwaondoa wazee kwa kigezo cha neno "Young" . wazee wakawa wanalififisha neno hilo kwa kuliingiza yanga kama aka hivi na mpaka likazoeleka.
Faida ya kufanya hivyo team sasa ni ya wote wazee na hao "young africans"
nangu Mandokwa
Faida ya kufanya hivyo team sasa ni ya wote wazee na hao "young africans"
nangu Mandokwa