Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,690
- 20,451
Kuweka rekodi sawa, msimu huu hakufungwa mechi 12 sio 13, maana mechi ya 13 ilikuwa dhidi ya Ihefu na ndio ambayo Yanga aliyokuwa beaten. Labda kama zinahesabiwa na mechi za ZalanMsimu huu hajafungwa mechi 13 za mwanzo hivyo ukijumlisha zinakuwa 43, nisaidieni hizo 6 ni za msimu gani?
Kuweka msisitizo, ninaweka kabisa msimamo wa ligi ili rekodi isije ikatiwa chumvi, na msimamo unaonyesha zimechezwa mechi 13 ikiwemo waliyopoteza dhidi ya Ihefu