Hivi Yanga unbeaten ya 20 hadi 40 mlikuwa wapi?

Msimu huu hajafungwa mechi 13 za mwanzo hivyo ukijumlisha zinakuwa 43, nisaidieni hizo 6 ni za msimu gani?
Kuweka rekodi sawa, msimu huu hakufungwa mechi 12 sio 13, maana mechi ya 13 ilikuwa dhidi ya Ihefu na ndio ambayo Yanga aliyokuwa beaten. Labda kama zinahesabiwa na mechi za Zalan

Kuweka msisitizo, ninaweka kabisa msimamo wa ligi ili rekodi isije ikatiwa chumvi, na msimamo unaonyesha zimechezwa mechi 13 ikiwemo waliyopoteza dhidi ya Ihefu

1670071122182.png
 
Mkuu mara ya mwisho Young Africans kupoteza mchezo ilikuwa ni tar 25/42020 walifungwa gori 1 na Azam, Tangu hapo hawakupoteza mchezo tena, hiyo ilikuwa round ya 28 msimu wa 2020/21. Takwimu zake ni kama ifuatavyo

1. Round ya 29 alicheza na Namungo tar 15/5 akatoka Sare ya 0-0,

2. Round ya 30 akacheza na Jkt Tanzania tar 19/5 akashinda 2-0

3. Round ya 31 akacheza na Ruvu shooting tar 17/6 akashinda 3-2,

4. Round ya 32 akacheza na Mwadui tar 20/6 akashinda 3-2

5. 3/7 Simba 0- Young Africans 1 gori la zawadi mauya( Hii game ilipangiwa hii tarehe baada ya kuhailishwa tarehe ambayo ilipangiwa kuchezwa ndo maana haijawa kwenye mtiririko wa round)

6. Round ya 33 akacheza na Ihefu tar 15/7 akashinda 2-0,

7. Round ya 34 akacheza na Dodoma jiji tar 18/7 wakatoka 0-0..

Generally, msimu wa 2020/21 baada ya kufungwa na Azam alicheza game 7 mbele bila kupoteza, msimu wa 21/22( NBC premier League) amecheza game 30 bila kupoteza na msimu huu 2022/23 amecheza game 12 bila kupoteza..7+30+12=49

NB
Ready to be corrected

Outcrop Rock( mwamba kipara)
Umetumia nguvu kuwaelisha wachawi. Nilivyosoma Comments za juu nikasema mjinga muache na ujinga wake.

Hongera mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani huu ni msimu wa ngapi kwa NBC kudhamini ligi yetu?

Msimu uliopita wa NBCPL mechi 30 alizocheza yanga hakufungwa

Msimu huu hajafungwa mech 13 za mwanzo hivyo ukijumlisha zinakuwa 43, nisaidieni hizo 6 ni za msimu gani?
Tushangae kwa pamoja
 
Umetumia nguvu kuwaelisha wachawi. Nilivyosoma Comments za juu nikasema mjinga muache na ujinga wake.

Hongera mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Umekosea kusema ametumia nguvu kuelimisha wachawi, ulipaswa ujibu kwa hoja

Kwanza nimpongeze aliyefafanua maana swali langu la msingi lilikuwa ni mechi saba zilikuwa za msimu upi, kiuweledi kabisa kaniambia kuwa ni maimu wa 20/21 tena akataja mpk mechi zenyewe

Wewe umwkuja kutukana, jifunze kujibu hoja lakin kongole zangu za dhati ziende kwa aliyenijibu kwa hoja
 
WATU WANAJIITA UNBEATEN.

WAMEPIGWA NA SIMBA KIGOMA.

WAMEPIGWA NA ZESCO.

WAMEPIGWA NA LIVER UNITED.

WAMEPIGWA NA ZANACO.

WAMEPIGWA NA AL HILALY OMDUMAN.

WAMEPIGWA NA IBENGE

SOMALIA NK
 
Umekosea kusema ametumia nguvu kuelimisha wachawi, ulipaswa ujibu kwa hoja

Kwanza nimpongeze aliyefafanua maana swali langu la msingi lilikuwa ni mechi saba zilikuwa za msimu upi, kiuweledi kabisa kaniambia kuwa ni maimu wa 20/21 tena akataja mpk mechi zenyewe

Wewe umwkuja kutukana, jifunze kujibu hoja lakin kongole zangu za dhati ziende kwa aliyenijibu kwa hoja
Soma comments za wenzako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WATU WANAJIITA UNBEATEN.

WAMEPIGWA NA SIMBA KIGOMA.

WAMEPIGWA NA ZESCO.

WAMEPIGWA NA LIVER UNITED.

WAMEPIGWA NA ZANACO.

WAMEPIGWA NA AL HILALY OMDUMAN.

WAMEPIGWA NA IBENGE

SOMALIA NK
Kuna siku Nilikuwa napembua mashabiki nikakuorodhesha lakini Mtu mmoja akanambia Huyo ni Mshangiliaji siyo shabiki. Leo nimeamini, yaani hata kinachoongelewa hujui Ila umelipuka tu.
 
Ni upuuzi na upayukaji tu si unajua watanzania wengi si wadadisi, hata ile ya mabingwa wa kihistoria ina tashwishwi sema tu Oya Oya mwana.

Ukiangalia washakanyagwa kombe la azam pale, walishakanyagwa mapinduzi zenj na washakanyagwa kimataifa kule kwa wanubi na kirafiki hapa kwa Mkapa ila wanapiga janja janja tu kukwepesha uhalisia. Maana ya unbearten ni iwe hujawahi kushindwa mechi yeyote ile katika mashindano yeyote yale.
Na huenda hii ndio ikawaudhi Ihefu.
 
Generally, msimu wa 2020/21 baada ya kufungwa na Azam alicheza game 7 mbele bila kupoteza, msimu wa 21/22( NBC premier League) amecheza game 30 bila kupoteza na msimu huu 2022/23 amecheza game 12 bila kupoteza..7+30+12=49

Kama Kuna wakupinga basi apinge haya maelezo ya Outcrop Rock Ameeleza vizuri sana hapa .

Kama Kuna takwimu tofauti na hizi basi uzi uendelee, Ila kama hakuna uzi ufungwe hoja hujibiwa Kwa hoja .
 
WOTE MLIO NIONA MJINGA.

UNBEATEN NI JUMLA YA MICHEZO YOTE ULIYOCHEZA BILA KUPOTEZA NDANI YA KIPINDI FLAN.

UNBEATEN YA ARSENAL ILIKUWA.

Bakrays/ EPL LEAGUE.
UEFA.
FA.
CARABAO CUP.


SIO MICHEZO YA LIGI EPL TU.
FICHENI UJINGA.
 
WOTE MLIO NIONA MJINGA.

UNBEATEN NI JUMLA YA MICHEZO YOTE ULIYOCHEZA BILA KUPOTEZA NDANI YA KIPINDI FLAN.

UNBEATEN YA ARSENAL ILIKUWA.

Bakrays/ EPL LEAGUE.
UEFA.
FA.
CARABAO CUP.


SIO MICHEZO YA LIGI EPL TU.
FICHENI UJINGA.
Acha uongo huo msimu Arsenal anaenda unbeaten game 49 kwenye UEFA aliishia robo final alipigwa na Chelsea goli 2-1 baada ya kutoka Sare ya 0-0 darajani, Unbeaten Yao Arsenal walifungwa na Man u ya Sir Alex Ferguson bao mbili, tena Arsenal walikuwa washaprint t-shirt za kufikisha unbeaten 50 unluckily hawakufanikiwa...

So unbeaten run ya arsenal ya game 49 ilihusisha game za ligi tu

Ready to be corrected
Outcrop Rock (Mwamba Kipara)
 
Back
Top Bottom