Hivi windows 8 ina kipi cha ziada cha kuzidi winows 7

Hivi windows 8 ina kipi cha ziada cha kuzidi winows 7

umemaliza ubishi.mkuu umeua ?hatarudi tena huyo


Ni ishara yakutokuwa na point ! Nakutaka kuonekana nawe umo kwenye msafara wa mamba !

Nimekujibu basi tu mana ningekaa kimya ingekuwa kama dharau !

Sikujibu tena
 
hii ni BIG FAT LIE
windows 8 iliuza copy milion 60 kwa muda wa miez mitatu tu ya mwanzo kitu kilichopuza milioni 60 kwa muda wa miez mitatu hakijafanya chochote sokoni? hapo hakuna mahesabu ya wanaotumia kms server na piracy zao.

chief-mkwawa

hiyo BIG FAT LIE unayoisema wewe kwa kigezo cha hizo first three month ! Kwamba kutokana na hizo 60M copies zilizo nunuliwa miezi mitatu after release

basi kwahiyo windows 8 ilifanya vizuri ! Basi wewe utakuwa katika hiyo hiyo BIG FAT LIE

na ukiwa unaelewa at first watu wengi lazma wawe na nia yakukijaribu ! Kwa miezi 15 windows 8 ime sells 100M few copies than windows 7 did

windows_7_windows_8_15_months.png

Wenzako mpaka hii 8.1 walitaka iwe free tu ! Mana hakuna chochote ilichotegemewa kukifanya sokoni !

Still windows 8 ni Disaster


nina hamu kweli unioneshe hayo maneno microsoft walipotoa public release kuwa windows 8 haiwezi kufanya vizuri na haijafanya vizuri nipe link please

Tutazidi kulewa na link hivi hivi kila siku wakati hata hizo link wanaandika watu kama sisi !

BTW

Na jamaa aliyesaidia kuitengeneza hiyo windows 8 ambae alikuwa kwe jopo zima ambao walijua kwamba haitafanya vizuri anasema Microsoft wali force ! Kwa users

na walivyokuwa wakiitengeneza walikuwa na lengo ije itumike kwa users wakawaida sana !

Matokeo yake 8 imeonekana ngumu kwa targetted users kuliko kawaida ! Thats why jamaa wanaendesha mambo kibabe !
Wame stick na paln yao

Windows 8 ile Metro ilitengezwa kwa wanaotaka kufungua Facebook, kuangalia picha, na kupost baadhi ya stuffs instagram.
It's designed for your computer illiterate little
sister, for grandpas who don't know how to use that computer dofangle thingy, and for
mom who just wants to look up apple pie
recipes. It's simple, clear, and does one thing
(and only one thing) relatively easily !

Haya ndiyo aliyosema jamaa wa microsoft na ndomana nakwambia windows 8 ni yakijinga ! Si umeona hapo !

Ilitengenezwa kwa matumizi ya kawaida ! For illitarate little sisters na kwa kina mama !

Ukitaka link sema nikuwekee ! Mana ndipo tulipo sticky wabongo

user wangapi wanaolalamika? na hao wanaolalamika ni faN BOY ambao hata pc za win 8 hawana? au ni watu walionunua? na sisi kama great thinker hapa jf tunatakiwa tujudge kwa fact na sio watu wanasemaje so bwana

Leo unauliza users wangapi chief ! Watu kibao wanaolalamikia hiyo windows 8 afu unaniambia fans Boy !

You can't be serious chief !

snipa hebu niambie hivyo vitu vilivyopunguzwa toka win 7 kuja 8

tusiongelee vitu vilivyopunguzwa chief mana we umesema kila kilicho kwenye 7 kwenye 8 kipo ! Wakati ni uongo !

microsoft alimshikia bunduki apple aeke ios 7 iwe flat ui?

microsoft alimuekea vifaru google atumie flat ui kwenye service zake?

microsoft alimkaba opera ahamie flat ui?

microsoft alitumia nguvu yake kumforce fb ahamie flat ui?

la hasha wote waliamua kwa akili zao ku adapt flat ui sababu ni future,

naona unazunguka kaka ila turudi kwenye mada kama unasema win 7 ni bora kuliko 8 jeeeeeeeeeeeeeee KITU GANI KIPO KWENYE WINDOWS 7 KWENYE WINDOWS 8 HAKIPO?

Tusiondoke kwenye mada kwanza Chief ! Mana kuna point unayodai kilicho kwenye windows 7 kwenye 8 kipo !

Tukianzia na Start Button haikuwepo kwenye 8 ! We unaniambia kila kitu kipo !

Mi naendelea kukwambia kuwa WINDOWS 8 NI WINDOWS YAKIJINGA
 
Last edited by a moderator:
tatizo tunakomalia Upya wa OS, win 8 itabaki kuwa nzito tena sana especially kwenye startup kuliko win 7. tusubiri kidogo ikae sokoni watu wataielewa
 
Watu wanapinga windows 8 kwa sababu ipo complicated katika kuitumia. Windows 8 ipo vizur sana hasa katika security. Mfano mzuri mimi nshawahi kuchukua usb flash yenye shortcut virus then nikaiweka katika pc yenye windows 7 ultmate, but windows defender ya 7 ikashindwa kudetect wale shortcut virus ingawa ilikuwa updated. But nlipoiweka katika pc yenye windows 8, ndani ya dakika moja tu shortcut detected wakawa detected.
 
tatizo tunakomalia Upya wa OS, win 8 itabaki kuwa nzito tena sana especially kwenye startup kuliko win 7. tusubiri kidogo ikae sokoni watu wataielewa

kaka unajua kuwa windows 8 inaboot haraka kuliko hata simu ya kitochi? surface pro inaboot sekunde 6 tu. sijawahi ona mashine ya win 7 inayoboot hata kwa sekunde 30. be honest kaka umetumia windows 8?
 
Mimi mtazamo wangu binafsi according to hii thread ni kwamba it all depends.

Kwa mtu anayetaka simplicity in usability, though according to snipa windows 8 was meant to be more usable, clearly wamefail na windows 7 is the best hapa.

Kwa appealing UI na wapenda urembo basi bila shaka metro ya win8 iko vizuri comparing na win7.

Boot speed and most other operation speeds na security win8 ni njema sana, such that mwanzoni nilijua nipo kwenye POST kumbe kitu kishaboot kinaload users.

Pia win8 ina intergration kubwa sana na recovery ya PC, ukiingia recovery mode kuna UI moja matata sana na recovery na troubleshooting ni very easy.

Long story short, inategemeana kwa kweli na nini mtu anataka.
 
Last edited by a moderator:
chief-mkwawa

hiyo BIG FAT LIE unayoisema wewe kwa kigezo cha hizo first three month ! Kwamba kutokana na hizo 60M copies zilizo nunuliwa miezi mitatu after release

basi kwahiyo windows 8 ilifanya vizuri ! Basi wewe utakuwa katika hiyo hiyo BIG FAT LIE

na ukiwa unaelewa at first watu wengi lazma wawe na nia yakukijaribu ! Kwa miezi 15 windows 8 ime sells 100M few copies than windows 7 did

windows_7_windows_8_15_months.png
unaona mwenyewe unajichanganya je kitu failure chini ya miaka miwili kinauza copy milioni 200? angalia juu kwenye jedwali lako ni milioni mia mbili kaka zidisha mara dola 40 kwa zilizouzwa kwa oem na mara dola 100 kwa zilizouzwa kwa watu kawaida utaona revenue tu iliyotoka kwenye windows ni zaidi ya dola bilioni kumi.

hizo trilioni 16 zilizopatikana kwenye windows ni kama budget yetu tanzania. hebu nenda kamuelezee mtu mzima kitu kilichogenerate trilioni 16 ni failure uone kama hutachapwa vibao mchana kweupe.

na windows 8 kutofikia idadi ya win 7 ni sababu ya sucessor, windows vista haikufanya vizuri na xp ilitoka 2002 windows 7 2009 na windows 8 2012. so windows 7 ilikua na mda mrefu toka xp miaka 7 wakati 7 kwenda 8 ni miaka 3. soko la pc lilishakuwa mature zamani watu hawanunui pc kama simu kila mwaka bali wananunua pc ikitokea pc ya zamani imeharibika hivyo miaka mitatu ni michahce sana.


Wenzako mpaka hii 8.1 walitaka iwe free tu ! Mana hakuna chochote ilichotegemewa kukifanya sokoni !

Still windows 8 ni Disaster




Tutazidi kulewa na link hivi hivi kila siku wakati hata hizo link wanaandika watu kama sisi !

BTW

Na jamaa aliyesaidia kuitengeneza hiyo windows 8 ambae alikuwa kwe jopo zima ambao walijua kwamba haitafanya vizuri anasema Microsoft wali force ! Kwa users

na walivyokuwa wakiitengeneza walikuwa na lengo ije itumike kwa users wakawaida sana !

Matokeo yake 8 imeonekana ngumu kwa targetted users kuliko kawaida ! Thats why jamaa wanaendesha mambo kibabe !
Wame stick na paln yao

unajua hapa unaongeaje?
kwanza umekataaa link ya internet
then ukajifanya unajua kuhusu mfanyakazi wa microsoft huku unakataa msaada wa internet

tell me bwana snipa ulimeet na huyo mfanyakazi wa microsoft face to face? na ukipata nafasi ya kukutana na ceo wa microsoft satya nadela unaweza kumtaja huyo mtu?

Windows 8 ile Metro ilitengezwa kwa wanaotaka kufungua Facebook, kuangalia picha, na kupost baadhi ya stuffs instagram.
It's designed for your computer illiterate little
sister, for grandpas who don't know how to use that computer dofangle thingy, and for
mom who just wants to look up apple pie
recipes. It's simple, clear, and does one thing
(and only one thing) relatively easily !
ona huyu naye anafananisha start screen na metro. start screen ni metro ila si metro ni start screen kaka, metro kwa maana ya flat ui imetumika hadi kwenye desktop kaka karibia ui yote imekua flat

ona ui ya dektop ilivyokua flat kwenye hii picha
Windows_2D00_7_2D00_Windows_2D00_8_2D00_Task_2D00_Managers_2D00_SxS_5F00_0D5416D6.jpg


Haya ndiyo aliyosema jamaa wa microsoft na ndomana nakwambia windows 8 ni yakijinga ! Si umeona hapo !
sawa mdogo ake satya nadella ukilala tena ukiota njoo tuhadithie tena wanayosema wafanyakazi wa microsoft bila msaada wa internet

Ilitengenezwa kwa matumizi ya kawaida ! For illitarate little sisters na kwa kina mama !

Ukitaka link sema nikuwekee ! Mana ndipo tulipo sticky wabongo
kuna msemo unasema task manager tu ina worth update toka windows 7 kwenda 8 umeiona task manager picha ya hapo juu? hio ni kwa ajili ya wataalamu na hata beginers waweze kufanya kazi kama pro, unajua app gani inakulaje proccessor, ram na network na kuweza kuifunga kama inakuzingua mambo hayo nyie wa win 7 mtameza tu mate



Leo unauliza users wangapi chief ! Watu kibao wanaolalamikia hiyo windows 8 afu unaniambia fans Boy !

You can't be serious chief !

katika hao wanaolalamika uliwaambia kuwa akiclick mara chache tu anaweza kudisable start screen ya win 8 na computer kuboot kwenye desktop kila akiwasha pc yake?




tusiongelee vitu vilivyopunguzwa chief mana we umesema kila kilicho kwenye 7 kwenye 8 kipo ! Wakati ni uongo !



Tusiondoke kwenye mada kwanza Chief ! Mana kuna point unayodai kilicho kwenye windows 7 kwenye 8 kipo !

Tukianzia na Start Button haikuwepo kwenye 8 ! We unaniambia kila kitu kipo !

Mi naendelea kukwambia kuwa WINDOWS 8 NI WINDOWS YAKIJINGA

yap start button ipo though haiji na windows unaweza kuinstall kama vile unavyoeka vlc au utorrent na kuna pc kama za lenovo zinaship na start button
StartMenu8-578-80.jpg


kaka ndio mwisho kukujibu maana porojo nyingi tutachanganya tu watu. next time nitapost why win 8 ni nzuri sababu nilikuwa nadefend tu all time
 
Last edited by a moderator:
unajua hapa unaongeaje?
kwanza umekataaa link ya internet
then ukajifanya unajua kuhusu mfanyakazi
wa microsoft huku unakataa msaada wa
internet
tell me bwana snipa ulimeet na huyo
mfanyakazi wa microsoft face to face? na
ukipata nafasi ya kukutana na ceo wa
microsoft satya nadela unaweza kumtaja
huyo mtu?

sawa mdogo ake satya nadella ukilala tena ukiota njoo tuhadithie tena wanayosema wafanyakazi wa microsoft bila msaada wa internet


link unayoitaka wewe ni hii apa chief

JimmyX10 comments on Windows 8 Sells 100 million Fewer Copies than Windows 7 at 15 Months


nadhani utaona statements alizotoa jimmy !
Ili uendeleee kubisha vizuri ! Na ubishane na huyo aliyekuwa kwenye jopo la Designers !

Na amesema windows 8 was for illiterate little sisters ! And moms
na sticky tena windows 8 ni yakijinga


Na wenyewe wame realize Kwamba windows 8 ni disaster na mpaka waka releaze windows 8,1 with bing ! Ambayo ni low cost kabisa ! Na iwe free

http://mobile.extremetech.com/#/com...s-8-dot-1-to-increase-its-anemic-market-share

Lengo ni monetization!
Mi nasimamia what the reality ! Lakini we ni fan boy thats why !

Unasemea hiyo start button unaingiza kama VLC !

Sikutegemea kama ungetoa point hii !

Wakati zilizokuja ni tweak tu na sio official ! Iliyokuja pamoja na windows !

Kama wangefanya kweli hivi microsoft yani watuambie uki install windows 8 unakuwa na application pembeni kwa ajili ya hiyo start button basi ingekuwa windows ya maajabu !

Unapingana na wanachokisema wenyewe ! Windows 8 isn't successfully na haijapokewa vizuri

Nikikwambia people hate windows 8 unasema ni fans boy wakati the reality it's ! And out there on the google

Nami pia naishia hapa !

:closed_2:
 
so tuache porojo kama sisi ni great thinkers wa jf tunatakiwa tulumbane kwa fact na hizi mimi ndio fact zangu why windows 8 ndio best operating system ever ya pc.

1.task manager
nitaliongelea kwenye real life, kuna watu wanalalamika bundle yangu inaisha mapema, wengine wanalalamika mimi pc yangu ipo slow nikifungua mashine program zinachukua muda, kuna malalamiko mengi kwenye pc kuliona hili kwenye windows 8 microsoft akaleta improved task manager ambayo inaonesha kila program jinsi inavyokula ram processor, hard disk na bandwitch za internet.

Windows-8-Task-Manager.jpg


kama inavyoonekana kwenye picha hapo juu hio ndio task manager mpya ina maana utakua huna shida ukiona computer inabehave usivyotaka wewe just ctrl+ alt+ delete itakuja then funga kitu kinachofanya kazi bila kukiruhusu.

2. faster boot time
windows 8 inaboot very fast sekunde 6 inaboot kama machine yako ipo fast sometime inaipita hadi nokia ya tochi kwenye kuboot haraka. video zipo nyingi online unaweza google na mi ntawapa moja
Windows 8 boots in 6 seconds - YouTube

je kuboot upesi kwa sekunde 6 kunasaidia nini? sometime unataka kufanya kitu haraka unaskia uvivu sababu inachukua mda mwingi kuwasha pc ila kwa windows 8 hakuna tatizo uvivu utaondoka na pc itawaka haraka

3. kuwepo kwa mobile application
unaweza kukaa na pc yako ukamiss game zako za simu au apps za simu kwenye windows 8 hakuna shida store yake ina apps kibao za simu kama vile asphalt 7 na 8, skull of shougan, fresh paint na nyenginezo. kwenye windows 7 hadi utafute emulator ndo utacheza app za simu.

4.say bye bye to ant-virus
kwenye windows 7 moja kati ya matatizo yake ni virusi watu wanahangaika kutafuta ant virus za bure, wengine wanatoa hadi 50,000 kununua kaspersky. kwenye windows 8 hutapata shida ya ant virus tena maana inakuja na windows defender ambayo kwa matumizi yangu mimi haijawah kuniangusha sijawah kupata kirusi hata siku moja.

5. intergrated application
moja kati ya kitu kizuri ambacho kipo kwenye simu ni integration ya application aka ecosystem unaweza kuset gallery isave pic zako automatic online kwenye dropbox, ukaieka skype iwe ndio default ukimpigia mtu simu na mambo mengi. kwenye windows 8/78.1 hili tatizo limepungua sana sababu kuna deep integration ya skype, skydrive na bing unaweza kuziset zikafanya kazi kama simu vile kusave pic online nk. even computer ikifa kesho ukinunua computer nyengine vitu vyako vinarudi, nani asietaka pc yake iwe kama simu? hata akiiformat contact zake, picha zake zinarudi kama zilivyo?

6. universal search
kitu chengine kizuri kuhusu windows 8 ni search yake. inasearch kila kitu hadi setting za computer na kama hicho kitu unachosearch hakipo kwenye pc basi utapelekwa internet ukakione. inawezekana sometime umesikia kitu labda superstar fulani amekufa kwenye windows 7 hadi ufungue browser uingie google usearch it take time kwenye windows 8 unaingia tu search unaandika itakupeleka tu yenyewe

7. improved battery life
kwenye mashine yangu nilikuwa nikitumia kwa low setting napata hadi 6 hours kwa windows 7 ila toka ni update inakwenda hadi masaa 6 na nusu.

8. kuhamasisha kutozima pc
kwenye windows 8 microsoft wameimprove sleep na hibernate mode hivyo unapomaliza kutumia pc huna haja ya kuizima just unailaza tu bila program zako kuharibika. mfano unachapa kazi umeishia katikati unasleep mashine then badae unaendelea sababu inakula energy kidogo ila kwenye win7 energy kubwa inatumika na sleep mode yake sio efficient sana.

9. touch ui
windows 8 inaweza kutumika kote kote kwenye pc za touch na zisizo na touch tofauti na windows 7 ambayo ilikuwa ni nightmare kwa wanaotumia touchscreen device

small device
windows 8 imefanya leo hii tuwe na device ndogo kabisa hadi za inch 8 ambazo zinahandle karibia kila kitu. badala ya mtu kubeba li laptop kubwa unabeba tu ka tablet ka inch 8 na touch cover basi.
Dell-Venue-8-Pro-d.jpg
 
Back
Top Bottom