Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,378
Windows 8 hasn't run the game !
Ndomana inakuja windows 9
windows 8 was made for touch usability !
Kwenye PC hizi non touch tunajiforce tu always nasema w 8 ni yakijinga !
![]()
kwa watumiaji na wale ambao mshawai tumiawindows 8 na 8.1 hivi hii window ina kitu gani cha ziada maana naona watu wanaipa sifa sana ,karibuni mjadala wakuu
View attachment 161305
windows 8 = more cpu usage+ more ram + more bandwidth usage for data + fast in file transfering.
windows 7 = intermediate on all those
windows 7 = wali nyama
windows 8= wali nyama na maharage
kila kitu cha windows 7 kipo kwenye windows 8 plus vitu vyengine. kama windows 8 ni ya kijinga basi windows 7 ni ya kijinga zaidi.
na windows 9 aka threshold haiji kuimprove desktop bali inakuja kuunganisha os zote tatu za microsoft yaani windows phone, windows rt na windows yenyewe ziwe os moja. hivyo tegemea metro kuwa improved zaidi na sio desktop. metro ndio future kaka na imekuja kukaa haiondoki. wenye akili wamesha adapt flat ui(opera, google, apple, faceboook.....) wewe endelea kusema ni ya kijinga
si kweli minimum requirement ya windows 8 ni ndogo kuliko ya windows 7. Inakula cpu na ram ndogo. Win 8 kwenye mashine ya 1gb ipo smooth. Kuhusu bandwitch haihusian na os ni webmaster na website zao ndo wanaohusika. Au unataka kuniambia ukidownload movie kwa win 7 inakua na mb chache kuliko 8
namuunga mkono chief-mkwawa windows 8 ni light and smooth hata kwa ram ya 1GB,. pia ina'start up within a minutes bila kukuna nazi kama windows 7.
Wakati windows 8 inatoka toka 2012 naamini kwamba chuoni kwetu pale SUA mimi nilikuwa mtu wakwanza kwanza kuiweka windows kwenye PC yangu. Kuna siku ilikuwa presentation during class lesson na presenter anapanda na PC yake binafsi then kuna projector mbele pale just plug and play.
- And the funny story is...
Kitu kukawakia kwenye start menu bwana, unaambiwa darasa zima liliduwaa huku sauti za chini sikitanda kuulizana "ile ndio windows 8?" baada ya kipindi kuisha nilipokea order za windows 8 installation kwa watu kibao, nlipiga hela kiasi sio saaana.
ushawahi kusikia kitu kinachoitwa optimization? technology ya microsoft ya mwaka 2009 haifanani na ya mwaka 2012 ndio maana wakaweza kuweka vitu vingi kwenye operating system na still ikawa nyepesi. mimi mwenyewe nilivyoupdate kwenda kwenye win 8 muda wa kukaa na chaji ukaongezeka, nikaweza hadi kurun apps ambazo mwanzo zilikuwa zinalag. angalia hii test iliofanywa na pc mag windows 8 imedestroy win 7 kila kitu kasoro tu kuhamisha file na tena hii ni kwa sababu win 8 ikihamisha file inafanya 2 in 1, inahamisha file na kuscan malware.Simply any feature in an OS will consume RAM n CPU, any additional feature will consume extra resources.
and If win 7 is Inside win 8 plus other features , what would you expect on RAM and CPU usage.
In Real life experience, WIN 8 consumes More RAM n CPU than WIN 7......
[h=1]Windows 7 system requirements[/h]
If you want to run Windows 7 on your PC, here's what it takes:
- 1 gigahertz (GHz) or faster 32-bit (x86) or 64-bit (x64) processor
- 1 gigabyte (GB) RAM (32-bit) or 2 GB RAM (64-bit)
- 16 GB available hard disk space (32-bit) or 20 GB (64-bit)
- DirectX 9 graphics device with WDDM 1.0 or higher driver
[h=1]System requirements[/h]
[h=4]Windows 8.1[/h] If you want to run Windows 8.1 on your PC, here's what it takes:
- Processor: 1 gigahertz (GHz) or faster with support for PAE, NX, and SSE2 (more info)
- RAM: 1 gigabyte (GB) (32-bit) or 2 GB (64-bit)
- Hard disk space: 16 GB (32-bit) or 20 GB (64-bit)
- Graphics card: Microsoft DirectX 9 graphics device with WDDM driver
hii ni BIG FAT LIEKaka tusiende mbali sana !
Windows 8 haijafanya kitu chochote kile kwenye soko !
nina hamu kweli unioneshe hayo maneno microsoft walipotoa public release kuwa windows 8 haiwezi kufanya vizuri na haijafanya vizuri nipe link pleaseHaya sio maneno yangu microsoft wenyewe wameliona hili !
Na haiwezi kuendelea kufanya vizuri
user wangapi wanaolalamika? na hao wanaolalamika ni faN BOY ambao hata pc za win 8 hawana? au ni watu walionunua? na sisi kama great thinker hapa jf tunatakiwa tujudge kwa fact na sio watu wanasemaje so bwana snipa hebu niambie hivyo vitu vilivyopunguzwa toka win 7 kuja 8Na ingekuwa 8 ina kila kitu ilicho nacho 7 basi users wasingelalamikia !
Na microsoft hujawajua wanaenda mbele na hiyo flat GUI ambayo itakuwepo hata kwenye 9 ni kibabe tu kulingana na aibu waliyoipata kutoka kwa users kutoipokea vizuri hiyo GUI !
Na 9 ingekuja na Aero lakini wao wameona itakuwa kama ni Review ya windows 7 !
Tukiongelea window acha tuzungumzie kwanza its appearance ! Hiyo GUI flat microsoft wataendelea nayo kuepuka kurudi nyuma !
Na Metro yenyewe its appear to do nothing !
Naomba uitoe hiyo kauli ya kwamba 8 ina kila kitu ilichonacho 7
ingekuwa kweli microsoft wasingeona wame thrown a baby on a water bath ! Na hiyo 8 !
Umemjibu vyema. Hao ni wale ambao mpaka leo wanasifia santuri kisa tu hawana mashine za CDwindows 7 = wali nyama
windows 8= wali nyama na maharage
kila kitu cha windows 7 kipo kwenye windows 8 plus vitu vyengine. kama windows 8 ni ya kijinga basi windows 7 ni ya kijinga zaidi.
na windows 9 aka threshold haiji kuimprove desktop bali inakuja kuunganisha os zote tatu za microsoft yaani windows phone, windows rt na windows yenyewe ziwe os moja. hivyo tegemea metro kuwa improved zaidi na sio desktop. metro ndio future kaka na imekuja kukaa haiondoki. wenye akili wamesha adapt flat ui(opera, google, apple, faceboook.....) wewe endelea kusema ni ya kijinga
Hata Rolls Royce haijafanya vizuri kwenye soko ukilinganisha na Toyota CorollaKaka tusiende mbali sana !
Windows 8 haijafanya kitu chochote kile kwenye soko !
Haya sio maneno yangu microsoft wenyewe wameliona hili !
Na haiwezi kuendelea kufanya vizuri !
Na ingekuwa 8 ina kila kitu ilicho nacho 7 basi users wasingelalamikia !
Na microsoft hujawajua wanaenda mbele na hiyo flat GUI ambayo itakuwepo hata kwenye 9 ni kibabe tu kulingana na aibu waliyoipata kutoka kwa users kutoipokea vizuri hiyo GUI !
Na 9 ingekuja na Aero lakini wao wameona itakuwa kama ni Review ya windows 7 !
Tukiongelea window acha tuzungumzie kwanza its appearance ! Hiyo GUI flat microsoft wataendelea nayo kuepuka kurudi nyuma !
Na Metro yenyewe its appear to do nothing !
Naomba uitoe hiyo kauli ya kwamba 8 ina kila kitu ilichonacho 7
ingekuwa kweli microsoft wasingeona wame thrown a baby on a water bath ! Na hiyo 8 !
Hata Rolls Royce haijafanya vizuri kwenye soko ukilinganisha na Toyota Corolla