MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,016
- 16,813
Unakuta Mzazi na akili zake zote kabisa ana Watoto wa Kiume au wa Kike ambao wala hawajaoa wala kuolewa na hawana Watoto ( huku Umri wao nao ukiwa umeshakwenda ) lakini kila anapokuona Wewe anakuuliza lini utaoa au utaolewa na kwanini unachelewa Kuzaa ( kupata Watoto )
Hivi Mtu huyu huwa anatafuta Jibu gani Kwako ili labda iwe mwanzo na mwisho Kwake Kukuuliza?
Hivi Mtu huyu huwa anatafuta Jibu gani Kwako ili labda iwe mwanzo na mwisho Kwake Kukuuliza?