Hivi Waswahili tupoje?

Hivi Waswahili tupoje?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,016
Reaction score
16,813
Unakuta Mzazi na akili zake zote kabisa ana Watoto wa Kiume au wa Kike ambao wala hawajaoa wala kuolewa na hawana Watoto ( huku Umri wao nao ukiwa umeshakwenda ) lakini kila anapokuona Wewe anakuuliza lini utaoa au utaolewa na kwanini unachelewa Kuzaa ( kupata Watoto )

Hivi Mtu huyu huwa anatafuta Jibu gani Kwako ili labda iwe mwanzo na mwisho Kwake Kukuuliza?
 
Unakuta Mzazi na akili zake zote kabisa ana Watoto wa Kiume au wa Kike ambao wala hawajaoa wala kuolewa na hawana Watoto ( huku Umri wao nao ukiwa umeshakwenda ) lakini kila anapokuona Wewe anakuuliza lini utaoa au utaolewa na kwanini unachelewa Kuzaa ( kupata Watoto )

Hivi Mtu huyu huwa anatafuta Jibu gani Kwako ili labda iwe mwanzo na mwisho Kwake Kukuuliza?
Mbona simple mkuu!? Anataka uende kwake coz kuna walio single..
 
Maudhi n mengi sana dunia ko vingine n unachukulia kawaida(unavidharau)huwa nina kauli moja kwamba m naishi maisha yangu na so kama mtu anavotaka,
 
Mwambie kuna mambo mengi ya kufanya. Kuoa ni ziada tu.
 
Back
Top Bottom