BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 6,182
- 11,783
Mtu wangu wa karibu kastafu na kapata pension yake.Toka tuzaliwe hajawahi kufanya kilimo cha biashara maisha yake.Kwa sasa ameanza shughuli za kilimo na kawekeza 20,000,000 na anategemea kupata faida 50,000,000.,Nimeshauri asiwekeze hela zaidi maana kilimo hakieleweki.ila naona Wastaafu wengi hela zinawachanganya sana.
