Hivi wasambaa wana sifa gani??


Hapa sio kazini au shule kwamba tunafata muongozo wa kitabu.
tanzania hua kuna utani wa makabila hua tunataniana sana sioni sababu ya kuacha kupata raha wenginetuta ambulia hata moja la kujifunza humu ndio raha ya mjumuiko wa marafiki tofauti tofauti usipo jichanganya utaishia kubaki na akiri mgando zakotu tuongee chochote ilimradi matusi hapana ukiona umezidiwa utani nyamaza.
 
Wadada wakisambaa ni wakarimu sana ni vigumu ndoa kuvunjika ukiwa na msambaa Pia kuna uhakika wa kula mzigo mwanzo mwisho mwenyewe swala la kuchepuka kwao ni F yani wanalizika sana ila mbulu na mhaya utasaidiwa sana na masela

toa source mkuu....!!!!!!
 
Huwaga nasikia ati wasambaa wana jua sana yale mambo yetu yaleee hivi ni kweli??Pia nasikia wanajua sana kulea wanaume na kupiga hapo ndio kabisa.Naomba kuwafahamu hawa watu

Wewe ni KE au ME?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…