tabia hii ya kujitegemea wangefanya kwa kipindi cha u-boyfriend na uchumba matunda yake si yangekua mazuri kuanzia heshima na hata wanapoingia kwenye ndoa ingekua bado ni furaha sana?Sidhani kama wanategemea kutunzwa na wenzi wao nadhani kila mtu anajitegemea wanakutna tu kwenye kupeana raha
Kwenye mind ya mwanamke ni kwamba akiwa na mwanaume tu ndo matunzo yanapaswa kuwepo mara hili mara lile na siyo kwamba eti kabla ya kuwa na mwanaume hayo mahitaji alikuwa hanatabia hii ya kujitegemea wangefanya kwa kipindi cha u-boyfriend na uchumba matunda yake si yangekua mazuri kuanzia heshima na hata wanapoingia kwenye ndoa ingekua bado ni furaha sana?
Nimekua nikiona wanawake kwenye movies ambao wamo kwenye usiano na wanawake wenzao na hawaonyeshi kama kunakutegemea support ya kimatumizi kutoka kwa mwenza wake zaidi ni wivu ndo huonekana zaidi! je kwenye maisha ya reality wanawake wa aina hii walioko kwenye mahusiano na wanawake wenzao nao hutegemea mwenza wake amgharamie kama ambavyo hutaka wanaume kuwagharamia?
Angalizo; I only want to know kama utachukizwa na post hii pretend hukuiona na upite kiroho safi!
mmmmh hii topic nimeshindwa kutoa comment!!!
okey huyo bibi nae ata-demand matumizi na kupiga mizinga kama vile simu yangu imedondokea kwenye maji, sijala, naumwa, sijakujibu kwasababu sina credits, bibi ni mgonjwa naomba laki nikamuone na hela ya sonyo ya babu shilingi elfu sabini and nauli ya kurudia!Wewe unawaona wanawake lakin yupo bwana na bibi hapo
Eeh hii ipo mbona?? Mm niliwahi kusimuliwa na rafiki yangu wa kike jinsi demu mwenzie anavyomzmikia na alikuwa anamuhudumia kila kitu,alikuwa hatak awe na mwanaume na alikuwa na wivu sana akimuona uyo demu na mwanaume mwingine,yah hyo ipo na maranyingi hutumiwa na ma lesbian waliokubuhu kuwarubuni wadada wazuri ambao hawana mchezo huo had kukubali