Akikupa hela ndio anakuwa wa maana?Mwanaume anaejielewa kimajukumu, mwanaume mwenye future na sio mwanaume mchezeaji. Inshort mwanaume anaetambua nafas yake kama mwanaume kwa mwanamke sio unaombwa hela unakuja leta uzi jf no
kwa hiyo mkuu, nikiombwa pesa nikiwa sina, umaana wangu unaondoka sio?Mwanaume anaejielewa kimajukumu, mwanaume mwenye future na sio mwanaume mchezeaji. Inshort mwanaume anaetambua nafas yake kama mwanaume kwa mwanamke sio unaombwa hela unakuja leta uzi jf no
Yule demu wako umemnunulia zile nguo??Mwanaume anaejielewa kimajukumu, mwanaume mwenye future na sio mwanaume mchezeaji. Inshort mwanaume anaetambua nafas yake kama mwanaume kwa mwanamke sio unaombwa hela unakuja leta uzi jf no
Sahihi, Ready made.Mti wenye matunda yaliyoiva...,Nikuchuma tu!
Aise tuko tofauti mno...mwanaume akishakuwa maarufu tu..kwisha habari nitamkwepa vibaya mnoooo...Mwanaune wa maana
Social status // umaarufu
Wealth status // pesa
Health status // Afya
Vingine cjui upole cjui urefu cjui nn n additions tu za mwanaune wa maaana
Yule demu wako umemnunulia zile nguo??
mnunulie mtoto viwalo angae mzee, acha mambo zakoMkuu upo makini