Joan S
JF-Expert Member
- Oct 26, 2021
- 2,382
- 9,503
Siyo kujikojolea tu akanya kabisaSimba anafungwa vipi?
Hebu amka usije ukajikojolea
Acha uboya wewe mtabiri uchwara. Mechi ya Simba na Numungo ulitabiri uchuro kama huu. Matokeo yakawa kinyume chake.Saa 2 usiku simba anafungwa ila
Cameroon wa mapenati anakufwaaaaa
Mzeee mkeka huo kwisha
Hebu mshauri vizuri msukuma mwenzio..mbona hivyoMdogo wangu HB... Achana nayo hayo.
Mchumbaa nilikumissHandsome boy, shule inafunguliwa next week unakumbuka hata ulipoweka school uniforms zako?
Ndio wewe hapo kwenye picha?Anafungwa goli 2 kwa bila leo
Umehisi ninachohisi mimi, uko vizuri.
Pisi kali kinoma!Eventually handsome boy wa jf huyu hapa!!!
Kuna mzazi ameshapigwa na kitu kizito kichwani!View attachment 2079705
Tangu ujiunge JamiiForums yaani jukwaa limekuwa kama darasa la tano B, darasa ambalo vijinywele sehemu za siri vinaanza kuota.Jamani hivi hii ipoje? Mimi ni mwanaume ambae mungu kanijalia muonekano mzuri kidogo pia najipenda sana kimavazi sasa kiukweli mimi haipiti wiki bila kutongozwa na mwanamke imefikia kipindi mimi ninakuwa wanawake wengi sana kila demu nitakaemtaka nampata hata awe mzuri vpi nampata
Maisha yangu nishatembea na mademu zaidi ya 60 yaani isitoshe ni kuwa kuna demu mtaani kwetu ni mrembo analinga mno marafiki zangu wamejaribu kumtongoza wameshindwa ila mimi nilikutana nae juzi njiani demu kaniomba namba zangu jsna ananiambia ananipenda leo nimemleta ghetto nimemla wadau hawaamini nimempataje
Nina visa vingi ila swali langu ni ili hivi wanawake mnapenda wanaume wa dizaini ipi? Na je mimi nina jini mahaba hau nini maana wanawake wananiganda mno?