handsome boy wa jf
Senior Member
- Jan 2, 2022
- 163
- 333
Jamani hivi hii ipoje? Mimi ni mwanaume ambae mungu kanijalia muonekano mzuri kidogo pia najipenda sana kimavazi sasa kiukweli mimi haipiti wiki bila kutongozwa na mwanamke imefikia kipindi mimi ninakuwa wanawake wengi sana kila demu nitakaemtaka nampata hata awe mzuri vpi nampata.
Maisha yangu nishatembea na mademu zaidi ya 60 yaani isitoshe ni kuwa kuna demu mtaani kwetu ni mrembo analinga mno marafiki zangu wamejaribu kumtongoza wameshindwa ila mimi nilikutana nae juzi njiani demu kaniomba namba zangu jsna ananiambia ananipenda leo nimemleta ghetto nimemla wadau hawaamini nimempataje.
Nina visa vingi ila swali langu ni ili hivi wanawake mnapenda wanaume wa dizaini ipi? Na je mimi nina jini mahaba hau nini maana wanawake wananiganda mno?
Maisha yangu nishatembea na mademu zaidi ya 60 yaani isitoshe ni kuwa kuna demu mtaani kwetu ni mrembo analinga mno marafiki zangu wamejaribu kumtongoza wameshindwa ila mimi nilikutana nae juzi njiani demu kaniomba namba zangu jsna ananiambia ananipenda leo nimemleta ghetto nimemla wadau hawaamini nimempataje.
Nina visa vingi ila swali langu ni ili hivi wanawake mnapenda wanaume wa dizaini ipi? Na je mimi nina jini mahaba hau nini maana wanawake wananiganda mno?