Mualike destroyer chumbani kwako, utajuta.
Ulipaswa kufanya hiviii!!
Alipokwambia tu habari yake hiyo ungemwambia "nisubiri kidogo nakuja" uingie ndani utoke na panga na kulikwaruza kama unalinoa na makelele ya kutaka kumcharanga, angetoka mbio nawe umfuatie kwa nyuma ukimpelekea ujumbe wa maneno kuwa ama zake ama zako, mpaka umtenganishe kichwa na kiwiliwili.
Nakuhakikishia angehama alipokuwa anakaa, kama ni mbezi angehamia gongo la mboto ndani ndani huko na town angekuwa anakuja kwa kuvizia.
Wewe umezembea na hatua yoyote utakayochukua sasa atajua ni akili ya kuambiwa, wewe mwenyewe huna noma.
Kwa heri!!!