Hivi wanawake tunawaza nini?

Hivi wanawake tunawaza nini?

mamkuu5

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2014
Posts
1,139
Reaction score
721
Katika hali nisiyo itegemea kutokea, mimi na mume wangu tunaheshimiana sana, kumbe kuna mmama anamuomba ampe mimba tu awe na mtoto wake basi ataridhika.

Mume wangu hakuniambia ila mama kaamua kujitutumua kuja kuniomba azae na mume wangu kwa makubaliano fulani fulani hivi. Sijaelewa nahisi kichwa kinazunguka nyuzi 360 sielewi hata chakufanya

Nishaurini jamani
 
Pole sana kwanza tuambie unawaza nin ili tukushauri...? Ukimruhusu umeumia
 
  • Thanks
Reactions: SDG
naona tu ubongo umesimama namuangalia simmalizi kweli wanaume wote hawa mume wangu ndio wakimpa mimba?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
naona tu ubongo umesimama namuangalia simmalizi kweli wanaume wote hawa mume wangu ndio wakimpa mimba?
Huyo mwanamke labda chizi anavamia tu watu.
Na mumeo ana nyota ya kupendwa na machizi.
 
Tunasemaga "in the middle of difficulties lies an opportunity" this is it Mwambie Nami kuna kaka alitaka nimzalie mapacha soo yeye akipenda basi kuwe na equity its tit4tat Sissy
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Sijaelewa nahisi kichwa kinazunguka nyuzi 360 sielewi hata chakufanya

Nishaurini jamani

Wanawake buanaaa....

Sasa huelewi cha kufanya kwani mumeo ni cha wote?

Na wewe fanya hivi tafuta kidume (hata mimi waweza nipa hilo dili), halafu mwambie huyo kidume amzukie mumeo na amuombe kuzaa nawe kwa makubaliano fulani fulani hivi...
 
kama kuna ahadi nono piga moyo konde ukubali kwa shariti la kutomwambia mmeo umekubali na wakizaa wakiendelea unamshughulikia.
utaniona mi mpenda masilah lakin mbona anachepuka huyo mmeo bureee hupati chochote na ukimwi unaweza pata sembuse huyo.una kumbuka yule mdada maarufu alikubaliana na mme wake amuoe mtu fulan hapa bongo michango ya harusi ml. 90 mwanaume akasepa nayo kumbe walipanga na mkewe
 
Hapo kweli ulimwengu shujaa... Sasa embu kamuulize mechanism ya mbegu kuingia kwake itakua kwa njia gani?????????????? Kama itatumika staili ya ng'ombe hapo mruhusu kwani hakutakua na interaction ya mmeo na huyo mmama.
 
ndoa za siku hizi tatizo lolote break ya kwanza kwenye mtandao.......badala ya kusali Mungu akupe ujasiri, hekima na busara ili uweze kumuuliza mmeo na kukabilia na majibu ya mmeo......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom