Yani wanawake wengi walioolewa wanawakimbia waume zao, muda mfupi baada ya ndoa kufungwa, kama hapa mtaani ninapoishi, wanaume zaidi ya 4 wamekimbiwa na wake zao
Ukiwauliza hao wanaume sababu za kukimbiwa, hawatoi majibu ya kueleweka, hivi shida inakuwaga ni nini? Ndoa za sikuhizi zimekumbwa na janga gani?
Ukiwauliza hao wanaume sababu za kukimbiwa, hawatoi majibu ya kueleweka, hivi shida inakuwaga ni nini? Ndoa za sikuhizi zimekumbwa na janga gani?