Hivi wanawake mnanini?

xx co kwa umbo lako km kiazi na ww unavaa sket fupi

Kuvaa nguo hakuna limit ya aina ya umbo haijalish mguu ukoje ndo alivyoumbwa afanyaje ukipenda kitu nunua vaa usifikirie flan atasemaje maana hajakuchangia hata sent na cyo mwil wake hayo mambo ya kukaa na kuanza kukagua watu yamepitwa kwa nn upoteze sekunde kwa ajil ya kumjadil mtu embu tumia sekunde zako kuwaza maendeleo mtu avae nguo yake kanunua mwenyewe na ni mwil wake ingekuwa hivyo bas hata wanaume wasingevaa bukta maana miguu yao ni siyo mizur lakn mtu anavaa kwasababu kapenda mwenyewe kwa nn umpangie mtu kitu chaku vaa
 
xx co kwa umbo lako km kiazi na ww unavaa sket fupi

Kuvaa nguo hakuna limit ya aina ya umbo haijalish mguu ukoje ndo alivyoumbwa afanyaje ukipenda kitu nunua vaa usifikirie flan atasemaje maana hajakuchangia hata sent na cyo mwil wake hayo mambo ya kukaa na kuanza kukagua watu yamepitwa kwa nn upoteze sekunde kwa ajil ya kumjadil mtu embu tumia sekunde zako kuwaza maendeleo mtu avae nguo yake kanunua mwenyewe na ni mwil wake ingekuwa hivyo bas hata wanaume wasingevaa bukta maana miguu yao ni siyo mizur lakn mtu anavaa kwasababu kapenda mwenyewe kwa nn umpangie mtu kitu chaku vaa
 
Duuuh!
....nmepita nisome majibu yao, ila naona wanajibu kwa maswali zaid.....
....nyie wadada mjibu vzur tu jaman, km mna maswali kwetu cc muanzishe thread basi
 
Mmmmmmmh jamani izi comment zenu mbona aziko sawa lkn actuonee jaman
 

hahahahaha hahahahaa
 
ukimbile

wanaobenua matako wanauza makalio au sura zao mbaya ndo wanaamua kuwatega w.me kw makalio...

kupasua sketi mapajani wanaweka urahisi wa kuipandisha wkt wa kupiga mzigo hata km ofisini...

kuwao na kuwatolea pesa ni sadaka kwao ili wapate waturidhishe vizuri....
 
Last edited by a moderator:

naona unatetea kwa nguvu zote hadi unapost mara mbili-mbili
 

Hii ni thread kuhusu hao wanawake wenye hiyo tabia, anzisha sasa yako kuhusu hao "wanaume" wenye tabia hiyo.
 
Na zile tishet zao zilizochanikachanika,
Michosho tu hawa, siku hizi naona hakuna suruali za kiume wala za kike
unakuta njemba imevaa kasuali kamebana tupaja kama vimdenge vya mishikaki
bado kaichana na kwenye goti, vigoti vimejikomalia masikini
ehhhhhh watuache bana
 
Muihalalishe vipi sasa jamani, kwani wapi mlipoandika kuvaa sketi fupi haramu?

maandiko ndiyo yanayotaka hivyo si mimi, bado sijawa na mamlaka hayo ila kama unaona ni sawa basi endelea tu
 
ukimbile

Mkuu,

Ngoja watakuja tu baadae tena, watakwambia "tuache tufanye tunavyopenda, we fanya ya kwako"!
 
Last edited by a moderator:

Mkuu umeniacha nibaki njia panda nisijue jinsia yako
kwani hayo maswali yako yana walakini mkubwa sana.
nakutakia safari njema kwenye "u-nyuta genda" wako
 
Michosho tu hawa, siku hizi naona hakuna suruali za kiume wala za kike
unakuta njemba imevaa kasuali kamebana tupaja kama vimdenge vya mishikaki
bado kaichana na kwenye goti, vigoti vimejikomalia masikini
ehhhhhh watuache bana

hivi kumbe kuna suruali za kike, duh!!!!!!
 
maandiko ndiyo yanayotaka hivyo si mimi, bado sijawa na mamlaka hayo ila kama unaona ni sawa basi endelea tu
Kama hauna mamlaka ni vizuri, heri tu ufanye yako sasa ya walimwengu waachie walimwengu wenyewe
Hapo kwenye kuendelea mi hata sibadiliki mavazi nnayovaa ndo haya haya jana na leo na milele
as long as yanaendana na mazingira niliyopo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…