corasco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 3,664
- 3,397
Tunapenda familia zetu ndio mana tunaangaika na waume zetu hawaendi kanisani tunabeba na mizigo yao kama haitoshi watoto ndio shetani anaingilia hawaelewi hawasikii yaan kwa ufupi wanawake tunachangamoto nyingi sana..ndio jeshi kubwa la waombaji.mtuvumilie tu na pia tunakemea na pombe hizo muache wanaume ....zinatukera baadhi yetu