Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,424
- 8,046
Habari ya sikukuu wakuu,
Hapa nipo bar moja maeneo dulani napata moja baridi, sasa meza ya jirani kuna jamaa alikua pekee anakunywa soda mix na bapa, baada ya muda kaingia binti na bashasha kuu wakasalimiana kisha akakaa ila baada ya kugundua kuna bapa mezani kakosa raha yaani yupoyupo tuu, mara ajikune mara aweke mikono kichwani, nkajua tuu ashajua kinachofuata,
Sasa nkawaza niwaulize na wanawake wa jf, unapokua na miadi ya kugegedana na mpenz wako unafika eneo mlilokubaliana unamkuta mwenzi wako yupo na bapa analishindilia kwa kasi hua mnajiskiaje, au mnahisi nini nafsini mwenu?
Hapa nipo bar moja maeneo dulani napata moja baridi, sasa meza ya jirani kuna jamaa alikua pekee anakunywa soda mix na bapa, baada ya muda kaingia binti na bashasha kuu wakasalimiana kisha akakaa ila baada ya kugundua kuna bapa mezani kakosa raha yaani yupoyupo tuu, mara ajikune mara aweke mikono kichwani, nkajua tuu ashajua kinachofuata,
Sasa nkawaza niwaulize na wanawake wa jf, unapokua na miadi ya kugegedana na mpenz wako unafika eneo mlilokubaliana unamkuta mwenzi wako yupo na bapa analishindilia kwa kasi hua mnajiskiaje, au mnahisi nini nafsini mwenu?