Halafu Unajiona Umekula Chakula Cha Nguvu wakati hata Kwenye Balance Diet hakipo... Kweli Dagaa Wakuhesabu na Kachumbari na Ugali wa Mtoto... Halafu hata Haumwi ni Mzima Wa Afya Kabisa
Mnatia Hasira ... Na Kungekuwa na Vimbunga Dar Tungekuwa tunawaona Hewani mnapaa Kwa Kuwa Wepesi wepesi
Mnatia Hasira ... Na Kungekuwa na Vimbunga Dar Tungekuwa tunawaona Hewani mnapaa Kwa Kuwa Wepesi wepesi