Hivi WanaCCM wanatoka wapi?

Hivi WanaCCM wanatoka wapi?

Wakuu, hebu tujaribu kujenga picha...
Hawa wanaoisifia CCM na Magufuli kwa sasa wanatoka wapi?

Au ni wale wanaoishi kinabii? Kwamba kuna maisha mema huko mbeleni?

Hivi hawa wachache waliopo hapa jukwaani, ndio wabunge na hao mawaziri wanaotoka CCM?

Najiuliza hivi kuna raia wakawaida hapa(sio kiongozi wa chama, mbunge wala waziri). Anayekitetea chama hiki na Mwenyekiti wake?
Yupo mtu wa hivi kweli humu?

Sent from Kiwatengu 7 using jamiiforums app
Tupo Tanzania na tunatoka walipo watanzania wa kweli na Binadamu wenye akili zao Timamu sio wale walio shikiwa akili na Mbowe & Mtei Company Ltd (saccoss ya Bomang'ombe).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumekosa chama mbadala wa CCM tukaona ni heri kuipa sapoti CCM kuliko hao wanaharakati wanaojiita wanasiasa wa kupiga kelele tu zisizo na maana na kuigeuza mahakama ndo makazi yao ya kudumu...!!
 
Back
Top Bottom