Hivi wake zenu wapo kama huyu wangu?

Hivi wake zenu wapo kama huyu wangu?

bobby dolat

Senior Member
Joined
May 18, 2015
Posts
167
Reaction score
263
Kuna mdogo wangu ambae hali yake kiuchumi si mzuri kwa kipindi kirefu, alipata matatizo akapoteza ajira, mm ndie msaada wake hapa mjini maana wana mapacha wachanga na mtoto wa class 4

Sasa kila akija nyumbani kwangu kuomba msaada mke wangu atapiga kelele kutwa nzima kwamba nachezea hela nagawa hovyo, kila akimuona huyu jamaa kwetu ataniita na kuniuliza kuwa " kafuata hela au?"" Mm hujibu kwa swali pia " hela ni zako?" Then narudi sebuleni kuendelea na mazungumzo na mgeni wangu

Hali hii ipo kwa wageni wangu mbali mbali wanaokuja kwangu hadi imefikia pahala nimechoka
Kuna wakati alianza kukataa kupokea 5000 ya matumizi ndani kwamba naachaje pesa hiyo wakati natapanya hela kwa ndugu zangu, kitu ambacho si kweli, maana nyakati zinatofautiana, kama fedha ipo huwa natoa Mara moja matumizi ya wiki nzima na ninanunua vitu kwa jumla

Kumsaidia mdogo wangu ni suala lisiloepukika maana hata yy aliwahi kunisaidia sana nilipokua juu ya mawe, na mjini hapa hatujui ya kesho, hivyo sipendi kuishi kama nipo kisiwani

Hata hivyo jambo la kusikitisha ni kuwa wakija ndugu zake hali ni tofauti, ambapo atawakirimu kuanzia mapishi ya siku hiyo yatabadilika na baadae atadai nitoe na nauli

Sasa nikapenda niwaulize na nyinyi pia wake zenu wapo hivyo? Na Tiba gani hasa inaweza kufaa kutibu tatizo hili? Uaminifu, Upendo na ustahimilivu anao ila hiyo tabia ya miaka nenda Rudi ndio kero kwangu
 
Wewe endelea kumjibu hivyohivyo.muulize hela anatafuta yeye.ila ndugu zake wakija kama unazo usisite kuwapa.

Asikupande kichwa ufanye anachotaka yeye.
 
Mbwa huyo, mimi ni mwanamke na wanawake wa aina hiyo ndio wanaovuruga mahusiano ya ndugu na familia, tunang'ombe ya aina hiyo iliolewa na kaka yangu kwa tamaa ya pesa akaenda mloga mpk kaka yangu.
 
✔Wanawake wana tabia ya umimi sana hawajui kwamba Huyo labda anayekuja kuomba leo msaada kwako ndio aliyekutoa kimaisha huko nyuma kwa kukupa channel.
 
Ni kilema na kinatibika Kwa kutokuendekeza maongezi ya kipuuzi kuhusu familia, ndugu, jamaa na marafiki. Kwani hao ndugu zake unaowapa nauli yeye haoni? Pia mwambie yeye ndiye kajiunga na familia hivyo taratibu na mikakati yoyote Ile ya kuijenga na kuiimarisha familia aliyoikuta asiwe chanzo cha kuivuruga.

Ombi langu tu kwako usiwe ukawa unafanya matumizi fake yasiyo na tija kwa familia ukasema nilimpa dogo. Utakuwa unajichimbia kaburi lako mwenyewe
 
Kuna mdogo wangu ambae hali yake kiuchumi si mzuri kwa kipindi kirefu, alipata matatizo akapoteza ajira, mm ndie msaada wake hapa mjini maana wana mapacha wachanga na mtoto wa class 4

Sasa kila akija nyumbani kwangu kuomba msaada mke wangu atapiga kelele kutwa nzima kwamba nachezea hela nagawa hovyo, kila akimuona huyu jamaa kwetu ataniita na kuniuliza kuwa " kafuata hela au?"" Mm hujibu kwa swali pia " hela ni zako?" Then narudi sebuleni kuendelea na mazungumzo na mgeni wangu

Hali hii ipo kwa wageni wangu mbali mbali wanaokuja kwangu hadi imefikia pahala nimechoka
Kuna wakati alianza kukataa kupokea 5000 ya matumizi ndani kwamba naachaje pesa hiyo wakati natapanya hela kwa ndugu zangu, kitu ambacho si kweli, maana nyakati zinatofautiana, kama fedha ipo huwa natoa Mara moja matumizi ya wiki nzima na ninanunua vitu kwa jumla

Kumsaidia mdogo wangu ni suala lisiloepukika maana hata yy aliwahi kunisaidia sana nilipokua juu ya mawe, na mjini hapa hatujui ya kesho, hivyo sipendi kuishi kama nipo kisiwani

Hata hivyo jambo la kusikitisha ni kuwa wakija ndugu zake hali ni tofauti, ambapo atawakirimu kuanzia mapishi ya siku hiyo yatabadilika na baadae atadai nitoe na nauli

Sasa nikapenda niwaulize na nyinyi pia wake zenu wapo hivyo? Na Tiba gani hasa inaweza kufaa kutibu tatizo hili? Uaminifu, Upendo na ustahimilivu anao ila hiyo tabia ya miaka nenda Rudi ndio kero kwangu

Ni upungufu wake...endeleza mcmamo Wako!!!
kama ana upendo,uaminifu,mvumulivu bac inatosha kumshukuru mungu na umuombe ambadirishe kwenye uchoyo au ni ubahili cjui.
 
Mbwa huyo, mimi ni mwanamke na wanawake wa aina hiyo ndio wanaovuruga mahusiano ya ndugu na familia, tunang'ombe ya aina hiyo iliolewa na kaka yangu kwa tamaa ya pesa akaenda mloga mpk kaka yangu.

Weye ni contagious kweli. Hufai hata kwa dodoki. Unamwita mwenzio mbwa!! Huyu ni kipenzi cha mtu atiii. Jamaa amekuja omba msaada si mafunzo kumwona mkewe ni mbwa. Mpe ushauri si mafunzo potofu. Yaani ameoa mbwa?? Ushauri ka wako miye nisingeliufuata
 
Pole, mkeo ni mama wa nyumbani? Huwezi acha kumsaidia ndugu yako wakati kweli ana shida..... Ila jitahidi umtafutie kazi ili apate namna ya kupata pesa kuliko kutegemea msaada wa pesa kutoka kwako
 
Pole, mkeo ni mama wa nyumbani? Huwezi acha kumsaidia ndugu yako wakati kweli ana shida..... Ila jitahidi umtafutie kazi ili apate namna ya kupata pesa kuliko kutegemea msaada wa pesa kutoka kwako
Mpendwa acha akae nyumbani tu..Si uwa mnasema nyie jukumu lenu ni kuzaa kwa shida tu basi
 
Ana upendo?,mwaminifu?,mvumilivu?,anastahili kuwa mke kwako sababu bado ana sifa zinazomilikiwa na watu wachache.Hayo mengine ni mapungufu yaliyotokana na malezi au situation mbalimbali alizoziface.Cha muhimu kaa naye chini zungumza nae kuhusu kukerwa kwako,onesha ni jinsi gani unakereka na tabia yake... Msisitize aiache kama kweli ana mapendo kwako na ndugu zako.
 
Mbwa huyo, mimi ni mwanamke na wanawake wa aina hiyo ndio wanaovuruga mahusiano ya ndugu na familia, tunang'ombe ya aina hiyo iliolewa na kaka yangu kwa tamaa ya pesa akaenda mloga mpk kaka yangu.
Are you married?
 
Wanandoa tu
 

Attachments

  • 1448102072454.jpg
    1448102072454.jpg
    57.4 KB · Views: 615
Back
Top Bottom