faru rajabu
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 221
- 355
Mimi juzi tu nilikuwa nyumbani kwa nje jirani kuna duka napiga zangu k-vant, nipo na mafundi ambao wanajenga nyumba moja jirani pia hapo hapo kitaa, sasa akaja dada mmoja jirani yetu kaolewa na mshikaji mhasibu taasisi fulani nyeti serikalini,huwa nataniana nae,wakati anaondoka pale dukani dk kama 5 na mimi nikaona ngoja nisepe niende home, sasa napita ktk hilo pagale wanalojenga hao mafundi naona yule demu anatoka spidi kuelekea kwake na jamaa nae anakimbilia kwa nyuma ya pagale,nikaona mazafaka,kumbe mimi huwa namuheshimu halafu anabananishwa hata na mafundi?
UAMUZI NILIOCHUKUA NI NITAKAPOMUONA TU POPOTE NA MIMI NAMTONGOZA,sipendagi kutumia vibaya fursa mimi
UAMUZI NILIOCHUKUA NI NITAKAPOMUONA TU POPOTE NA MIMI NAMTONGOZA,sipendagi kutumia vibaya fursa mimi