kinja
Senior Member
- Oct 10, 2010
- 199
- 25
Usisahau udini. Wako watu wengi ambao wanaamini kuwa yote yanayompata Kikwete kutopendwa ni kutokana na dini yake. Kwa hali hiyo waislam wengi wakiongozwa na maneno na hoja za viongozi wao walikuwa nyuma ya nguvu ya kiislam kumtetea Kikwete. Wakumbuke kuwa hata Mkapa alipofanya madudu aliandamwa na shutma bila kujali dini yake. Pia uwepo wa Slaa na uambukizo kuwa yuko kwa ajiji ya Wakatoliki umechangia Waislam kumtetea na kumpa kura Kikwete.
kwenye udini sio hoja ya msingi kwa sababu ni kweli udini ulitawala baadhi ya maeneo sio kwa kikwete tu bali hata kwa slaa na akina zito. Rejea kauli ya zitto kuhusu udini wakati wa uchaguzi.