Nyamuleha jr
Senior Member
- Feb 20, 2013
- 185
- 65
Tangu nipo mdogo nilikua naskia watu wanasema habari za vibwengo kua wana tabia ya kuwatokea wanadamu na kuwaletea mauza uza hasa baharini,sasa najiuliza huyo kiumbe ana umbo gani la mnyama au binadamu? au vibwengo ndio majini?
MziziMkavu et.al karibuni hapa mtoe darasa.
Kibwengo kina kitu kama king'ora cha polisi au ambulance pale juu ya utosi...
Kasheshe huwa inakuja pale akikuuliza swali umeanza kuniona wapi wakati nakuja?
Kwa kuwa kinajijua ni kijeba "mfupi kwa kimo", basi huuliza hilo swali kama mtego...
Salama yako ni pale tu utakapojibu kuwa nimekuonea kuleee, hapo autaachiwa na kitapotea ghafla.
Lakini ukijichanganya tu ukajibu kuwa nimekuonea hap, utakula bonge la kerebu halafu hata hutajua limetokea wapi.
Kibwengo kina kitu kama king'ora cha polisi au ambulance pale juu ya utosi...
Kasheshe huwa inakuja pale akikuuliza swali umeanza kuniona wapi wakati nakuja?
Kwa kuwa kinajijua ni kijeba "mfupi kwa kimo", basi huuliza hilo swali kama mtego...
Salama yako ni pale tu utakapojibu kuwa nimekuonea kuleee, hapo autaachiwa na kitapotea ghafla.
Lakini ukijichanganya tu ukajibu kuwa nimekuonea hap, utakula bonge la kerebu halafu hata hutajua limetokea wapi.
Mi mwenyewe mbona kibwengo? Baba alikuwa anasema weee kibwengo nilitee kitabu nisome